Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,562
- 217,900
Tangu ndege John aingie madarakani, watalii wamepungua, toxo xa serikaki ni kubwa, wananchi hawamudu gharama za kulala ngurdoto, tunawategemea maveberu kwa silimia kubwa ili kuendesha hiteli zetu za kitalii halafu kutea tunawatukana hao mabeberu kwenye majukwaaBusiness manager alishindwa kabisa kuwashauri wamiliki wapunguze matumzi na washushe bei zaidi ili kupata wateja.
Maana kwa mji kama Arusha, mji wa kitalii, Kumiliki Hotel kama ile na kukosa wateja, Daah ni uzembe mkubwa kibiashara maana watalii wapo wengi tu kule.. Ni suala tu la ku-shusha bei ya chumba na ku-operate katika level za kawaida.
BTW, ni maoni yangu tu ila sijui hasa kilichowasibu ni nini mpaka kufikia maamuzi waliyofikia sasa ya kuifanya kuwa hostel za wanafunzi.
Kila nikifumba macho nikifumbua nahisi kama ni Utani tu wanatuzingua hawa. They can't be serious!
Tanzania kuanza kutengeneza smartphone
Haya mahesabu umeweka general sana, hayana mchanganuo ndo maana unapata hizo faida bila kutoa cost, Kama malipo ya wafanyakazi, umeme, maji, Kodi na cost zingine za kuendesha biashara ya mfumo wa motel, tuje kwenye hostel kupokea hiyo laki 4 huku gharama zingine zikiwa chini ya wanachuo na Kodi ya serikali kwenye Kodi ya nyumba ni kidogo sana so unaweza kuona hapo mhusika japo ameshuka kiuchumi Ila pia amekwepa kutumia uchumi wake kutumikia hasara.Uko sahihi kabisa na ndiyo maana nikasema ni makadirio.
Ukumbuke tunayoiongelea hapa ni Hotel ya Hadhi ya Nyota Tano (5) halafu chumba kiwe kwa shilingi elfu 12 kwa siku, kwa mji wa kitalii kama Arusha, its obviously ingekuwa inajaa karibia kila siku.
Na wangepata hela nyingi zaidi kuliko hii style yao ya kuifanya hostel ya wanafunzi kwa Tsh. Laki 4 kwa mwaka.
Nevertheless, ni opinions zangu tu na siyo facts, sipo katika management-board ya Ngurdoto Hotel na hivyo sijui hasa nini kiliwapata kibiashara mpaka kufikia kufanya huu uamuzi wao.
Pia sijui kama majengo ni yao au waliyakodi.
Nakubaliana na wewe mkuu. ila ukweli ni kwamba katika kipindi hiki cha Corona (Covid-19) kushuka kwa Mapato ya Biashara za Hotel kubwa ni Janga la Dunia nzima na wala siyo Tanzania tu pekee yake.Tangu ndege John aingie madarakani, watalii wamepungua, toxo xa serikaki ni kubwa, wananchi hawamudu gharama za kulala ngurdoto, tunawategemea maveberu kwa silimia kubwa ili kuendesha hiteli zetu za kitalii halafu kutea tunawatukana hao mabeberu kwenye majukwaa
Hotels kama Hyatt, Serana na zingine zimepunguza wafanyakazi kwa asilimia 85 kwa sababu hakuna return tangu Korona ianze
Asante! ila ukisoma vizuri utaona kuwa lengo langu si kuzingatia faida (profit) kwanza, ila lengo langu nilizingatia kwenye kuongeza mapato (revenue) na kupunguza gharama za uendeshaji (expenses & operating cost).Haya mahesabu umeweka general sana, hayana mchanganuo ndo maana unapata hizo faida bila kutoa cost, Kama malipo ya wafanyakazi, umeme, maji, Kodi na cost zingine za kuendesha biashara ya mfumo wa motel, tuje kwenye hostel kupokea hiyo laki 4 huku gharama zingine zikiwa chini ya wanachuo na Kodi ya serikali kwenye Kodi ya nyumba ni kidogo sana so unaweza kuona hapo mhusika japo ameshuka kiuchumi Ila pia amekwepa kutumia uchumi wake kutumikia hasara.
Jei Wii Tanzania sio wachinaHizi smartphone zitakuwa utopolo bora ya itel zaidi ya mara 1000,
Viwanda vya maana vimetushinda ila wachina wameona smartphone ndo zina soko wanataka kukaba kila kona
Gone are the days when this JF had sensible members!Labda smartphones za ushuzi
hata china na wao wanahitaji tech kutoka nje kukamilisha utengenezaji wa hizo smartphones,kuzidiana ni kawaida tu hapa dunianiHivi sisi kama kiwanda cha redio vha Philips Arusha tulikiua, ndiyo tutaweza kutengeneza soft circuits za simu kweli..
Wangetuambia wachina wanakuja kuweka kiwanda cha kutengeneza simu Tz tungeelewa...
anaandika tu mkuu,usimtilie maanani.Duuh sukari 4500?!! Wapi huko mkuu hebu nipe tenda hiyo nije kupiga hela mzigo upo wa kutosha.
Tanzania kuanza kutengeneza smartphone