mtoto wa mchungaji
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 279
- 480
Wakati nchi nyingi za bara la afrika zimekuwa zikitia aibu na marais ambao wakichaguliwa aidha wanakaa nunusu kwa nusu Ulaya na nyumbani au kuamia kabisa Ulaya, Marekani au hata Falme za kiarabu na kuwa na miji huku na kuona hayo ni maisha ya kiongozi. Hii imekuwa aibu na fedhea sana kwa bara hili la Afrika ambalo wazungu walilialibu na kufanikiwa kuharibika.
Wakati haya yakienelea kutuongezea aibu kubwa pia linatokea lingine la mwaka katika nchi ya Watanganyika na Wazanzibari kwani tayari 2020 kupitia chama cha ukombozi, ambacho pia kiliwai kuwa chama kikuu cha upinzani TZ tulipata mgombea Urais mzalendo aliye beba ukombozi wa watanzania akitokea Ulaya. Taarifa za ndani kabisa za chama hicho ambazo zimevuja zinasema kuwa chama hicho bado kinamuandaa mleta ukombozi huyo na mzalendo kutoka Ulaya kuja kugombea tena 2025.
Kwa maana hiyo Tanzania itakuwa inafunga ukurasa wa historia ya aibu katika bara la Afrika kwani viongozi wengi wa kizalendo walikuwa wanaanda mashambulizi ya kupata uhuru kutokea nchi za Afrika kwa Afrika kama Samora Machel, Mugabe, Museven na wengine wengi, lakini huyu yeye kaenda mbali anaanzia kwa mabeberu kuja Afrika kama Savimbi.
Hiki chama cha ukombozi pia kiliwai kuwa chama kukuu cha upinzani hapa nchini licha ya kututia aibu katika mambo mengi ambayo yamekuwa gumzo Afrika na duniani kuwa na siasa za kushangaza kama kuwa na chama Saccos na kinakusanya sadaka kama kanisa au msikitini, kuwa na siasa za kiki na maandamano kila kuchao. kilishangaza zaidi ulimwengu baada ya kuwa siasa za kutafuta kiki hata katika misiba na majanga ya asili. Lakini pia wamewashangaza wengi kwa uwezo usio wa kawaida wa kuwa wasahaulifu hata kama wameongea jana tu leo wanasahau kuwa walisema nini jana.
Kuna baadhi ya mambo ya kustaajabisha kuna wakati walikuwa wanatangaza maandamano nchi nzima lakini ilikuwa inatokea Rais anawaita Ikulu wanapewa bahasha na kahawa ya Ikulu wanasimamisha ukombozi wote waliotaka kuufanya. Ni aibu ambazo tulipata wote kama nchi kwani hawakuwa na woga wala haja ya kujadili kama kuna ishu ya pesa mbele wako tayari kutoa na kuweka giabox nyingine angani hata kama ni hata watabadili gia ngani, hili lilitokea wakati wanamchukuwa mgombea kutoka chama tawala ambaye kwa miaka 8 walimtusi kuwa fisadi na mwizi aliyeshindikana Afrika mara...
Wadadavuaji wa mambo ya siasa wanasema kuwa kutokana na kuwa Tanzania inamgombea kutokea Ulaya hilo litarahisisha Tanzania kuingizwa katika umoja wa Ulaya kirahisi zaidi. Kwani hadi sasa tunaogea tayari upendo mkuu wa wazungu tumeuona kwani walileta Utumwa, mapinduzi ya viwanda, ukoloni, ubepari, imperializimu, democrasia na dini na tamaduni zake ambavyo vyote vimekuwa msaada mkubwa wa maendeleo ya bara letu sasa tukipata Rais kutokea Ulaya kilakitu kitakuwa sawa.
Wakati haya yakienelea kutuongezea aibu kubwa pia linatokea lingine la mwaka katika nchi ya Watanganyika na Wazanzibari kwani tayari 2020 kupitia chama cha ukombozi, ambacho pia kiliwai kuwa chama kikuu cha upinzani TZ tulipata mgombea Urais mzalendo aliye beba ukombozi wa watanzania akitokea Ulaya. Taarifa za ndani kabisa za chama hicho ambazo zimevuja zinasema kuwa chama hicho bado kinamuandaa mleta ukombozi huyo na mzalendo kutoka Ulaya kuja kugombea tena 2025.
Kwa maana hiyo Tanzania itakuwa inafunga ukurasa wa historia ya aibu katika bara la Afrika kwani viongozi wengi wa kizalendo walikuwa wanaanda mashambulizi ya kupata uhuru kutokea nchi za Afrika kwa Afrika kama Samora Machel, Mugabe, Museven na wengine wengi, lakini huyu yeye kaenda mbali anaanzia kwa mabeberu kuja Afrika kama Savimbi.
Hiki chama cha ukombozi pia kiliwai kuwa chama kukuu cha upinzani hapa nchini licha ya kututia aibu katika mambo mengi ambayo yamekuwa gumzo Afrika na duniani kuwa na siasa za kushangaza kama kuwa na chama Saccos na kinakusanya sadaka kama kanisa au msikitini, kuwa na siasa za kiki na maandamano kila kuchao. kilishangaza zaidi ulimwengu baada ya kuwa siasa za kutafuta kiki hata katika misiba na majanga ya asili. Lakini pia wamewashangaza wengi kwa uwezo usio wa kawaida wa kuwa wasahaulifu hata kama wameongea jana tu leo wanasahau kuwa walisema nini jana.
Kuna baadhi ya mambo ya kustaajabisha kuna wakati walikuwa wanatangaza maandamano nchi nzima lakini ilikuwa inatokea Rais anawaita Ikulu wanapewa bahasha na kahawa ya Ikulu wanasimamisha ukombozi wote waliotaka kuufanya. Ni aibu ambazo tulipata wote kama nchi kwani hawakuwa na woga wala haja ya kujadili kama kuna ishu ya pesa mbele wako tayari kutoa na kuweka giabox nyingine angani hata kama ni hata watabadili gia ngani, hili lilitokea wakati wanamchukuwa mgombea kutoka chama tawala ambaye kwa miaka 8 walimtusi kuwa fisadi na mwizi aliyeshindikana Afrika mara...
Wadadavuaji wa mambo ya siasa wanasema kuwa kutokana na kuwa Tanzania inamgombea kutokea Ulaya hilo litarahisisha Tanzania kuingizwa katika umoja wa Ulaya kirahisi zaidi. Kwani hadi sasa tunaogea tayari upendo mkuu wa wazungu tumeuona kwani walileta Utumwa, mapinduzi ya viwanda, ukoloni, ubepari, imperializimu, democrasia na dini na tamaduni zake ambavyo vyote vimekuwa msaada mkubwa wa maendeleo ya bara letu sasa tukipata Rais kutokea Ulaya kilakitu kitakuwa sawa.