Tanzania itavunja rekodi kuwa nchi ya kwanza Afrika, Mgombea urais wao anaishi Ulaya anakujaga kugombea urais Afrika

mtoto wa mchungaji

JF-Expert Member
Oct 24, 2020
279
480
Wakati nchi nyingi za bara la afrika zimekuwa zikitia aibu na marais ambao wakichaguliwa aidha wanakaa nunusu kwa nusu Ulaya na nyumbani au kuamia kabisa Ulaya, Marekani au hata Falme za kiarabu na kuwa na miji huku na kuona hayo ni maisha ya kiongozi. Hii imekuwa aibu na fedhea sana kwa bara hili la Afrika ambalo wazungu walilialibu na kufanikiwa kuharibika.

Wakati haya yakienelea kutuongezea aibu kubwa pia linatokea lingine la mwaka katika nchi ya Watanganyika na Wazanzibari kwani tayari 2020 kupitia chama cha ukombozi, ambacho pia kiliwai kuwa chama kikuu cha upinzani TZ tulipata mgombea Urais mzalendo aliye beba ukombozi wa watanzania akitokea Ulaya. Taarifa za ndani kabisa za chama hicho ambazo zimevuja zinasema kuwa chama hicho bado kinamuandaa mleta ukombozi huyo na mzalendo kutoka Ulaya kuja kugombea tena 2025.

Kwa maana hiyo Tanzania itakuwa inafunga ukurasa wa historia ya aibu katika bara la Afrika kwani viongozi wengi wa kizalendo walikuwa wanaanda mashambulizi ya kupata uhuru kutokea nchi za Afrika kwa Afrika kama Samora Machel, Mugabe, Museven na wengine wengi, lakini huyu yeye kaenda mbali anaanzia kwa mabeberu kuja Afrika kama Savimbi.

Hiki chama cha ukombozi pia kiliwai kuwa chama kukuu cha upinzani hapa nchini licha ya kututia aibu katika mambo mengi ambayo yamekuwa gumzo Afrika na duniani kuwa na siasa za kushangaza kama kuwa na chama Saccos na kinakusanya sadaka kama kanisa au msikitini, kuwa na siasa za kiki na maandamano kila kuchao. kilishangaza zaidi ulimwengu baada ya kuwa siasa za kutafuta kiki hata katika misiba na majanga ya asili. Lakini pia wamewashangaza wengi kwa uwezo usio wa kawaida wa kuwa wasahaulifu hata kama wameongea jana tu leo wanasahau kuwa walisema nini jana.

Kuna baadhi ya mambo ya kustaajabisha kuna wakati walikuwa wanatangaza maandamano nchi nzima lakini ilikuwa inatokea Rais anawaita Ikulu wanapewa bahasha na kahawa ya Ikulu wanasimamisha ukombozi wote waliotaka kuufanya. Ni aibu ambazo tulipata wote kama nchi kwani hawakuwa na woga wala haja ya kujadili kama kuna ishu ya pesa mbele wako tayari kutoa na kuweka giabox nyingine angani hata kama ni hata watabadili gia ngani, hili lilitokea wakati wanamchukuwa mgombea kutoka chama tawala ambaye kwa miaka 8 walimtusi kuwa fisadi na mwizi aliyeshindikana Afrika mara...

Wadadavuaji wa mambo ya siasa wanasema kuwa kutokana na kuwa Tanzania inamgombea kutokea Ulaya hilo litarahisisha Tanzania kuingizwa katika umoja wa Ulaya kirahisi zaidi. Kwani hadi sasa tunaogea tayari upendo mkuu wa wazungu tumeuona kwani walileta Utumwa, mapinduzi ya viwanda, ukoloni, ubepari, imperializimu, democrasia na dini na tamaduni zake ambavyo vyote vimekuwa msaada mkubwa wa maendeleo ya bara letu sasa tukipata Rais kutokea Ulaya kilakitu kitakuwa sawa.
 
Tanzania ni kubwa kuliko mtu. If you used to kill by sword, you may be killed by a bacterium. If you used to cause pain by using wasps, your pain may come from scorpions one day. If you used to conquer victory of others, you may not stay longer with it.

Hakuna hata sababu moja iliyojustify kuntwanga Lissu risasi!

God please, we kindly ask you not allow these hearsays be true! But We glorify your Highest name.
 
Raisi wa Congo Tsheked alikuwa anishi wapi

Hata Kabila
Museve
Wote walirudi nchini kwao mapema kwenye nchi zao kuongoza mapambano hawakurudi kwenda kugombea tu wakisubiri wengine waandae mazingira ili mwana wa mfalme Lisu aje kugombea!!! walirudi ndani ya nchi zao tena hali ikiwa mno wote akina Kabila akina museveni akina Kagame na akina Mandela akina Mugabe nk

Lisu akigombea atakuwa wakwanza Afrika kusukumia wengine yeye akiwa ulaya akila pizza akisubiri uteuzi wa ugombea .Aangalie wenzie hata Bob wine tu kakomaa hapo hapo nchini kala virungu ridasi kakimbizwa nje lakini wapi yuko ndani ya Uganda !!! Lisu hamna mwanasiasa pale hayupo
 
Wote walirudi nchini kwao mapema kwenye nchi zao kuongoza mapambano hawakurudi kwenda kugombea tu wakisubiri wengine waandae mazingira ili mwana wa mfalme Lisu aje kugombea!!! walirudi ndani ya nchi zao tena hali ikiwa mno wote akina Kabila akina museveni akina Kagame na akina Mandela akina Mugabe nk

Lisu akigombea atakuwa wakwanza Afrika kusukumia wengine yeye akiwa ulaya akila pizza akisubiri uteuzi wa ugombea .Aangalie wenzie hata Bob wine tu kakomaa hapo hapo nchini kala virungu ridasi kakimbizwa nje lakini wapi yuko ndani ya Uganda !!! Lisu hamna mwanasiasa pale hayupo
Wewe badala ya kupeleka uji Nairobi unashinda huku kupiga domo.?
 
Wakati nchi nyingi za bara la afrika zimekuwa zikitia aibu na marais ambao wakichaguliwa aidha wanakaa nunusu kwa nusu Ulaya na nyumbani au kuamia kabisa Ulaya, Marekani au hata Falme za kiarabu na kuwa na miji huku na kuona hayo ni maisha ya kiongozi. Hii imekuwa aibu na fedhea sana kwa bara hili la Afrika ambalo wazungu walilialibu na kufanikiwa kuharibika.

Wakati haya yakienelea kutuongezea aibu kubwa pia linatokea lingine la mwaka katika nchi ya Watanganyika na Wazanzibari kwani tayari 2020 kupitia chama cha ukombozi, ambacho pia kiliwai kuwa chama kikuu cha upinzani TZ tulipata mgombea Urais mzalendo aliye beba ukombozi wa watanzania akitokea Ulaya. Taarifa za ndani kabisa za chama hicho ambazo zimevuja zinasema kuwa chama hicho bado kinamuandaa mleta ukombozi huyo na mzalendo kutoka Ulaya kuja kugombea tena 2025.

Kwa maana hiyo Tanzania itakuwa inafunga ukurasa wa historia ya aibu katika bara la Afrika kwani viongozi wengi wa kizalendo walikuwa wanaanda mashambulizi ya kupata uhuru kutokea nchi za Afrika kwa Afrika kama Samora Machel, Mugabe, Museven na wengine wengi, lakini huyu yeye kaenda mbali anaanzia kwa mabeberu kuja Afrika kama Savimbi.

Hiki chama cha ukombozi pia kiliwai kuwa chama kukuu cha upinzani hapa nchini licha ya kututia aibu katika mambo mengi ambayo yamekuwa gumzo Afrika na duniani kuwa na siasa za kushangaza kama kuwa na chama Saccos na kinakusanya sadaka kama kanisa au msikitini, kuwa na siasa za kiki na maandamano kila kuchao. kilishangaza zaidi ulimwengu baada ya kuwa siasa za kutafuta kiki hata katika misiba na majanga ya asili. Lakini pia wamewashangaza wengi kwa uwezo usio wa kawaida wa kuwa wasahaulifu hata kama wameongea jana tu leo wanasahau kuwa walisema nini jana.

Kuna baadhi ya mambo ya kustaajabisha kuna wakati walikuwa wanatangaza maandamano nchi nzima lakini ilikuwa inatokea Rais anawaita Ikulu wanapewa bahasha na kahawa ya Ikulu wanasimamisha ukombozi wote waliotaka kuufanya. Ni aibu ambazo tulipata wote kama nchi kwani hawakuwa na woga wala haja ya kujadili kama kuna ishu ya pesa mbele wako tayari kutoa na kuweka giabox nyingine angani hata kama ni hata watabadili gia ngani, hili lilitokea wakati wanamchukuwa mgombea kutoka chama tawala ambaye kwa miaka 8 walimtusi kuwa fisadi na mwizi aliyeshindikana Afrika mara...

Wadadavuaji wa mambo ya siasa wanasema kuwa kutokana na kuwa Tanzania inamgombea kutokea Ulaya hilo litarahisisha Tanzania kuingizwa katika umoja wa Ulaya kirahisi zaidi. Kwani hadi sasa tunaogea tayari upendo mkuu wa wazungu tumeuona kwani walileta Utumwa, mapinduzi ya viwanda, ukoloni, ubepari, imperializimu, democrasia na dini na tamaduni zake ambavyo vyote vimekuwa msaada mkubwa wa maendeleo ya bara letu sasa tukipata Rais kutokea Ulaya kilakitu kitakuwa sawa.
Mkuu tuweke wazi basi ,kwani tutafanya uchaguzi wa Rais hivi karibuni?
 
Daah!!! Watu Wanamachungu, Upendo na Kinachotrend Hawana Hata Kidogo. Kumbe Ukiwa Mzima na Ukiwa Unachapa kazi tu watu haujui kama wanakupenda au Laaah!!!. Turudie Upendo Kama ulioonyeshwa na Wakati Tundu Antipas Lissu alipobinywa na Kiganja cha Chuma na Wasiojulikana...
 
Wakati nchi nyingi za bara la afrika zimekuwa zikitia aibu na marais ambao wakichaguliwa aidha wanakaa nunusu kwa nusu Ulaya na nyumbani au kuamia kabisa Ulaya, Marekani au hata Falme za kiarabu na kuwa na miji huku na kuona hayo ni maisha ya kiongozi. Hii imekuwa aibu na fedhea sana kwa bara hili la Afrika ambalo wazungu walilialibu na kufanikiwa kuharibika.

Wakati haya yakienelea kutuongezea aibu kubwa pia linatokea lingine la mwaka katika nchi ya Watanganyika na Wazanzibari kwani tayari 2020 kupitia chama cha ukombozi, ambacho pia kiliwai kuwa chama kikuu cha upinzani TZ tulipata mgombea Urais mzalendo aliye beba ukombozi wa watanzania akitokea Ulaya. Taarifa za ndani kabisa za chama hicho ambazo zimevuja zinasema kuwa chama hicho bado kinamuandaa mleta ukombozi huyo na mzalendo kutoka Ulaya kuja kugombea tena 2025.

Kwa maana hiyo Tanzania itakuwa inafunga ukurasa wa historia ya aibu katika bara la Afrika kwani viongozi wengi wa kizalendo walikuwa wanaanda mashambulizi ya kupata uhuru kutokea nchi za Afrika kwa Afrika kama Samora Machel, Mugabe, Museven na wengine wengi, lakini huyu yeye kaenda mbali anaanzia kwa mabeberu kuja Afrika kama Savimbi.

Hiki chama cha ukombozi pia kiliwai kuwa chama kukuu cha upinzani hapa nchini licha ya kututia aibu katika mambo mengi ambayo yamekuwa gumzo Afrika na duniani kuwa na siasa za kushangaza kama kuwa na chama Saccos na kinakusanya sadaka kama kanisa au msikitini, kuwa na siasa za kiki na maandamano kila kuchao. kilishangaza zaidi ulimwengu baada ya kuwa siasa za kutafuta kiki hata katika misiba na majanga ya asili. Lakini pia wamewashangaza wengi kwa uwezo usio wa kawaida wa kuwa wasahaulifu hata kama wameongea jana tu leo wanasahau kuwa walisema nini jana.

Kuna baadhi ya mambo ya kustaajabisha kuna wakati walikuwa wanatangaza maandamano nchi nzima lakini ilikuwa inatokea Rais anawaita Ikulu wanapewa bahasha na kahawa ya Ikulu wanasimamisha ukombozi wote waliotaka kuufanya. Ni aibu ambazo tulipata wote kama nchi kwani hawakuwa na woga wala haja ya kujadili kama kuna ishu ya pesa mbele wako tayari kutoa na kuweka giabox nyingine angani hata kama ni hata watabadili gia ngani, hili lilitokea wakati wanamchukuwa mgombea kutoka chama tawala ambaye kwa miaka 8 walimtusi kuwa fisadi na mwizi aliyeshindikana Afrika mara...

Wadadavuaji wa mambo ya siasa wanasema kuwa kutokana na kuwa Tanzania inamgombea kutokea Ulaya hilo litarahisisha Tanzania kuingizwa katika umoja wa Ulaya kirahisi zaidi. Kwani hadi sasa tunaogea tayari upendo mkuu wa wazungu tumeuona kwani walileta Utumwa, mapinduzi ya viwanda, ukoloni, ubepari, imperializimu, democrasia na dini na tamaduni zake ambavyo vyote vimekuwa msaada mkubwa wa maendeleo ya bara letu sasa tukipata Rais kutokea Ulaya kilakitu kitakuwa sawa.
Rais wa Kwanza wa jirani zetu Malawi Dr. Kamuzu Banda alikuwa na Hospitali yake Uingereza wala hakushiriki kupigania Uhuru lakini wananchi walimwita aje agombee Uchaguzi na alishinda kwa kishindo akawa Rais wa maisha. Rais wa Estonia nchi ndogo kule Ulaya karibu na Urusi, alikuwa mfanyabiashara mashughuri kule Marekani lakini aliamua kugombea Urais wa nchi hiyo na alishinda kwa kishindo. Wa kwetu ni Mtanzania aliyekuwa Ulaya kwa matibabu baada ya kushambuliwa.
 
Hakuna hoja hapa
Wakati nchi nyingi za bara la afrika zimekuwa zikitia aibu na marais ambao wakichaguliwa aidha wanakaa nunusu kwa nusu Ulaya na nyumbani au kuamia kabisa Ulaya, Marekani au hata Falme za kiarabu na kuwa na miji huku na kuona hayo ni maisha ya kiongozi. Hii imekuwa aibu na fedhea sana kwa bara hili la Afrika ambalo wazungu walilialibu na kufanikiwa kuharibika.

Wakati haya yakienelea kutuongezea aibu kubwa pia linatokea lingine la mwaka katika nchi ya Watanganyika na Wazanzibari kwani tayari 2020 kupitia chama cha ukombozi, ambacho pia kiliwai kuwa chama kikuu cha upinzani TZ tulipata mgombea Urais mzalendo aliye beba ukombozi wa watanzania akitokea Ulaya. Taarifa za ndani kabisa za chama hicho ambazo zimevuja zinasema kuwa chama hicho bado kinamuandaa mleta ukombozi huyo na mzalendo kutoka Ulaya kuja kugombea tena 2025.

Kwa maana hiyo Tanzania itakuwa inafunga ukurasa wa historia ya aibu katika bara la Afrika kwani viongozi wengi wa kizalendo walikuwa wanaanda mashambulizi ya kupata uhuru kutokea nchi za Afrika kwa Afrika kama Samora Machel, Mugabe, Museven na wengine wengi, lakini huyu yeye kaenda mbali anaanzia kwa mabeberu kuja Afrika kama Savimbi.

Hiki chama cha ukombozi pia kiliwai kuwa chama kukuu cha upinzani hapa nchini licha ya kututia aibu katika mambo mengi ambayo yamekuwa gumzo Afrika na duniani kuwa na siasa za kushangaza kama kuwa na chama Saccos na kinakusanya sadaka kama kanisa au msikitini, kuwa na siasa za kiki na maandamano kila kuchao. kilishangaza zaidi ulimwengu baada ya kuwa siasa za kutafuta kiki hata katika misiba na majanga ya asili. Lakini pia wamewashangaza wengi kwa uwezo usio wa kawaida wa kuwa wasahaulifu hata kama wameongea jana tu leo wanasahau kuwa walisema nini jana.

Kuna baadhi ya mambo ya kustaajabisha kuna wakati walikuwa wanatangaza maandamano nchi nzima lakini ilikuwa inatokea Rais anawaita Ikulu wanapewa bahasha na kahawa ya Ikulu wanasimamisha ukombozi wote waliotaka kuufanya. Ni aibu ambazo tulipata wote kama nchi kwani hawakuwa na woga wala haja ya kujadili kama kuna ishu ya pesa mbele wako tayari kutoa na kuweka giabox nyingine angani hata kama ni hata watabadili gia ngani, hili lilitokea wakati wanamchukuwa mgombea kutoka chama tawala ambaye kwa miaka 8 walimtusi kuwa fisadi na mwizi aliyeshindikana Afrika mara...

Wadadavuaji wa mambo ya siasa wanasema kuwa kutokana na kuwa Tanzania inamgombea kutokea Ulaya hilo litarahisisha Tanzania kuingizwa katika umoja wa Ulaya kirahisi zaidi. Kwani hadi sasa tunaogea tayari upendo mkuu wa wazungu tumeuona kwani walileta Utumwa, mapinduzi ya viwanda, ukoloni, ubepari, imperializimu, democrasia na dini na tamaduni zake ambavyo vyote vimekuwa msaada mkubwa wa maendeleo ya bara letu sasa tukipata Rais kutokea Ulaya kilakitu kitakuwa sawa.
 
Back
Top Bottom