yvegenc prymacov
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,529
- 1,914
Nchi nyingi za Kiafrika haziendelei kwa sababu viongozi wengi wa bara la Afrika ni vibaraka wa mataifa ya ulaya, kazi yao kubwa ni kutekeleza maelekezo ya mabwana zao kutoka Ulaya, hawana kbs mpango wa kuendeleza nchi zao na watu wao, ndio maana mataifa ya kiafrika yanazidi kuwa masikini, pamoja na utajiri wa maliasili tuliojaliwa na mwenyezi Mungu.
Lkn najiuliza hayati John Pombe Joseph Magufuli, yeye alikuwa ni kibaraka wa nchi gani? Yeye alikuwepo kulinda makampuni ya kibepari ya nchi gani? Tujuzane wakubwa, mapovu yanaruhusiwa.
Lkn najiuliza hayati John Pombe Joseph Magufuli, yeye alikuwa ni kibaraka wa nchi gani? Yeye alikuwepo kulinda makampuni ya kibepari ya nchi gani? Tujuzane wakubwa, mapovu yanaruhusiwa.