Tanzania itajengwa na wachina

Tanzania itajengwa na wachina

Sawa mkuu

Ila masopakyindi

Kanitoa Tongotongo

Ongezea minyama kama wmana hapo
Hilo aliloandika Maso ni trela.
Fedha ya ujenzi inachezewa sana.
Pamoja na kilio cha hata Wabunge kuwa Road Fund kuchepushwa serikali haijatoa jibu lolote.
Hizo ni dalili za wazi ya kula kwa urefu wa kamba.
 
Now you are talking ,

Nipo mkuu. 😄 Na sasa umeweka chain ambayo inaweza kujadiliwa vizuri zaidi.
Nakubaliana na wewe kwenye jambo moja muhimu: kuna pattern ya China kwenye infrastructure ya Tanzania ambayo inastahili kuchunguzwa kwa kina. Lakini bado sitaki kuruka kutoka pattern kwenda “hii ni sera isiyo rasmi” bila kuthibitisha kila link ya chain yako.
Mkuu hilo nililoweka ni halisi, si suala la kudhania.
Na wakubwa wanalielewa hilo.
 
Unadhani ni mabadiliko gani ya kimkataba au kisheria yanapaswa kuwekwa ili kuzuia mchezo huu wa Kampuni za kichina kufanya hivi na kuwapa nafasi wakandarasi wa ndani?
Mradi kuna viongozi wala rushwa hakuna kitu kinawezekana.
Hapo nyuma kuna waziri wa Ujenzi katoa contact ZOOTE za ujenzi wa DART kwa kampuni za kichina jijini Dar es salaam.
Hakufanya hivyo kwa bahati mbaya, lazima kavuta toka kwa wachina.
Watu wanaunganisha mambo kuwa baada ya miradi hiyo kutolewa, ghorofa lake pale Mwenge likakamilika chap chap.
 
Kuna sera huwa hazitangazwi kwa uwazi, lakini mtu una akili, utaweka mbili na mbili utalipata jibu la nne.

Jijini Dar, wachina wamechukua kazi karibu zote za barabara.
Wazawa walie tu.

Siku hizi kila mtoa kazi za Ujenzi ana "mchina wake".

Wakandarasi wazawa uzeni tu mitambo yenu kabla kutu haijaiharibu kabisa.

Mbaya zaidi TANROADS ndio inakufa, Road Fund inachotwa kama watu hawana akili nzuri.

Awamu ya sita na wachina ni damu damu.
Na Tanzania itajengwa na wachina.
Hapa kweli tatiza mimi.
India najenga vapi!!
 
Back
Top Bottom