Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 18,180
- 29,913
- Thread starter
- #41
Hilo aliloandika Maso ni trela.
Fedha ya ujenzi inachezewa sana.
Pamoja na kilio cha hata Wabunge kuwa Road Fund kuchepushwa serikali haijatoa jibu lolote.
Hizo ni dalili za wazi ya kula kwa urefu wa kamba.