Tanzania iruhusu watu binafsi kujenga nyumba za kuhifadhia maiti (Mortuary rooms)

Mbona Corona wana mortuary yao?
 
Mbona Corona wana mortuary yao?
Hawa hawatoi huduma za mortuary as far as i know....! Yaani huduma za kutreat na kuhifadhi miili. Wao ni transport of bodies pamoja na arrangement za kuzika au kuchoma.
Au nimekosea?
 
Mi wazo zuri Sana maana mortuary ni zaidi ya kuhifadhi maiti kuna huduma za uchunguzi,utafiti, maandalizi yamazishi hata mafunzo pia itaongeza uwanja wa ajira or medical examiners
 
Hii fursa mnaijadili hapa naamini kuna mtu ataifanyia kazi muda si mrefu.au inawezekana kuna mtu yupo tayari kwenye process ya kuifanyia kazi

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Tena unaweka na solar system unapata faida iliyonyooka kbsa.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Mi wazo zuri Sana maana mortuary ni zaidi ya kuhifadhi maiti kuna huduma za uchunguzi,utafiti, maandalizi yamazishi hata mafunzo pia itaongeza uwanja wa ajira or medical examiners
Ni kweli kabisa mkuu... Umeiweka vizuri haswa!
Hata huduma za autopsy, post moterm, cadaver preparations, etc.
ni uwanja mpana haswa!
 
Ni wazo zuri ila kuna mambo yasiyofaa yatafanyika huko, tujifunze kutoka kwenye ubinafsishaji mwingine uliofanyika huko nyuma, possibly wawekezeji namba moja watakuwa ni hao wafanyakazi wa mochuari wa sasa
Sio lazima wawe wao unaweza ukaanzisha ukawaajiri km part time yaani anafanya kazi hospital akitoka anaunganisha shift nyingine kwenye ofisi yako km madaktari wanavyofanya

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Hii fursa mnaijadili hapa naamini kuna mtu ataifanyia kazi muda si mrefu.au inawezekana kuna mtu yupo tayari kwenye process ya kuifanyia kazi

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Nakubaliana na wewe asilimia 100.
Kuna kipindi fulani nilikua nimewaza na kufanyia utafiti kuhusu fursa ya kuwekeza kwenye uuzaji wa maji kwenye eneo fulani ambalo lilikua na shida sana ya maji.Sema nilikua sijakaa vizuri financially, kwa hiyo sikua na huo mtaji, na ni idea ambayo ilihitaji kiasi kama cha milioni 7 minimum kuitekeleza. Nikawa najipanga sasa nichukue mkopo sehemu fulani nianze utekelezaji.
Ndani ya muda wa miezi mitatu, kuna jamaa akaja kutekeleza yaani karibu kila ambacho niliwaza kuhusu ile idea kwa asilimia 90. Jamaa hadi sasa anaendelea na mradi fresh tu, anakula vichwa balaa!! Nikasema kweli ukiwaza kuhusu idea fulani usidhani kuwa peke yako ndo umewaza hilo.
 
Sio lazima wawe wao unaweza ukaanzisha ukawaajiri km part time yaani anafanya kazi hospital akitoka anaunganisha shift nyingine kwenye ofisi yako km madaktari wanavyofanya

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Sawa kabisa mkuu. Na pia kinachotakiwa ni kuweka standards tu na usimamizi wa kutosha (CCTV cameras, monitoring visits, uwepo wa miongozo ya ufanyaji kazi kwa weledi, etc).
Hii itahakikisha kuwa kila kitu kinafanyika kwa weledi mkubwa, na iwapo kunatokea uvunjwaji wa maadili na miiko ya kazi basi hatua stahiki zinachukuliwa kwa haraka.
 
True chief

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…