Hasara
Senior Member
- Dec 29, 2006
- 141
- 8
MSINIELEWE VIBAYA KWA MANENO HAYA YA KUTAKA ''VITA''
Tanzania inataka vita ili ijulikane-tuache kujitangaza nchi za nje kwa kutumia mamilion ya wavuja jasho huko CNN wakati somalia ,liberi,kongo, sudan,iraq,iran,afghastam. n.k zina pata matangazo ya bure kwa CNN, kwa sababu ya Amani na Utulivu inatumika kama kimvuli cha mafisadi, na kuomba omba kila siku na na safari za NJE kila siku, zarau, kiburi cha madaraka, kwani watatufanya nini?
sasa watanzania wamechoka kauli za viongozi wetu, muda wakwenda chaka unakaribia,
haya ni maoni yangu sijatumwa na mtu yeyote.
Tanzania inataka vita ili ijulikane-tuache kujitangaza nchi za nje kwa kutumia mamilion ya wavuja jasho huko CNN wakati somalia ,liberi,kongo, sudan,iraq,iran,afghastam. n.k zina pata matangazo ya bure kwa CNN, kwa sababu ya Amani na Utulivu inatumika kama kimvuli cha mafisadi, na kuomba omba kila siku na na safari za NJE kila siku, zarau, kiburi cha madaraka, kwani watatufanya nini?
sasa watanzania wamechoka kauli za viongozi wetu, muda wakwenda chaka unakaribia,
haya ni maoni yangu sijatumwa na mtu yeyote.