Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,080
Tanzania imewahi kuwa na Rais shabiki wa Simba?
Nyerere - Yanga
Mwinyi - Yanga (hata kwenye mazishi wajukuu zake waliweka wazi)
Mkapa - ????
Kikwete - Yanga
Magufuli - Yanga (kuna siku alifurahi sana kuona Simba kafungwa, aliwapiga Simba kijembe "Kagera sugar wametoboa tundu la Simba" huku anacheka kiyanga anga
Samia - Yanga huyu, aliwaalika ikulu kwa kufika fainali kombe shirikisho, aliwapa ndege bure kwenda na kurudi, kununulia mashabiki tiket, nk. sherehe za uhuru wa Malawi alipendekeza Yanga waende nae huko japo kikosi kilijaa yanga toto
Nyerere - Yanga
Mwinyi - Yanga (hata kwenye mazishi wajukuu zake waliweka wazi)
Mkapa - ????
Kikwete - Yanga
Magufuli - Yanga (kuna siku alifurahi sana kuona Simba kafungwa, aliwapiga Simba kijembe "Kagera sugar wametoboa tundu la Simba" huku anacheka kiyanga anga
Samia - Yanga huyu, aliwaalika ikulu kwa kufika fainali kombe shirikisho, aliwapa ndege bure kwenda na kurudi, kununulia mashabiki tiket, nk. sherehe za uhuru wa Malawi alipendekeza Yanga waende nae huko japo kikosi kilijaa yanga toto