CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 4,984
- 4,083
Kazi ni nzuri sana ya mamaUmesahau, ameaongezea mishahara minono watumishi wa umma, Sasa hakuna mtumishi anayalalamika!
Na tutazidi kumkumbuka huyo Samia kwa kuwasupoti watoto wetu wadogo wazaezae hovyo hovyo ili shule zetu zisomeshe wazazi badala ya watoto!
Na tutamkumbuka sana Samia kwa uongozi mbovu kuliko wote tangu Tanzania ipate Uhuru