Tanzania huenda ikatuchukua karne nzima kumpata Rais Samia mwingine

Umesahau, ameaongezea mishahara minono watumishi wa umma, Sasa hakuna mtumishi anayalalamika!

Na tutazidi kumkumbuka huyo Samia kwa kuwasupoti watoto wetu wadogo wazaezae hovyo hovyo ili shule zetu zisomeshe wazazi badala ya watoto!
Na tutamkumbuka sana Samia kwa uongozi mbovu kuliko wote tangu Tanzania ipate Uhuru
Kazi ni nzuri sana ya mama
 
Kama Taifa hebu tutafakari haya:

1. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayeweza kuongeza kwa mkupuo wanafunzi wapya elfu 29 kwenye HESLB,Simnakumbuka mtangulizi wake yeye ilimchukua miaka mitano ili kufikisha wanafunzi wapya elfu 32 kwenye HESLB,

2. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayekusanya kodi kwa haki kwa wastani wa TZS 1.72 Trilioni kwa mwezi bila ya kukimbiza wafanyabiashara wala kuwadhulumu chochote!!?.

3. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayewahurumia na kuwarejesha shuleni watoto wa masikini waliopata mimba wakiwa shuleni kwa kurubuniwa kwa chips na mserereko?!!

4. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayekuza uwekezaji wa nje FDIs mara sita zaidi kwa miezi sita tu yaani kutoka $510M hadi $3BL!!?.

5. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine kwa miezi saba tu ataongeza hifadhi yetu ya fedha za kigeni kwa TZS 4.4Trilion yaani kutoka $4.8BL mwezi March hadi $6.7BL mwezi September 2021!!?.

6. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayenunua ambulance 395 na magari 214 kwa mkupuo kwaajili ya chanjo wakati mtangulizi wake kwa miaka mitano alinunua ambulance 117 tu bila magari ya chanjo.

7. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayenunua CT SCAN kwenye kila mkoa,Wote mnakumbuka tangu uhuru zilikuwepo CT SCAN mbili tu Tanzania bara na visiwani.!!?

8. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayetununulia MRI kwenye kila hospitali ya kanda nchi nzima sina historia kama tuliwahi kuwa na MRI Machine yeyote kabla ya hizi mpya za mama Samia Suluhu Hassan,

9. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakaye tununulia "Water drilling holes machines " 25 toka mashine moja ya Halmashauri ya Tarime tuliyokuwa nayo,Huyu ni Rais anayekwenda kumaliza shida ya maji kwa vitendo Tanzania.

10. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayetujengea madarasa elfu 15 ya Sekondari na mengine elfu 3 ya Shule za Msingi shikizi, Hii ni Sawa na wastani wa kila shule moja ya sekondari ya Serikali kujengewa madarasa mapya manne (4).

11. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayewapanga Wamachinga wetu kwenye Permanent Premises ili watambulike na kupewa mikopo na huduma nyingine mbalimbali za kibiashara kama Semina na mafunzo kirahisi badala ya kuwatumia kama mtaji wa kisiasa na kuwaacha wakiogelea kwenye Umasikini toka mwaka mmoja wa Uchaguzi na mwingine.

12. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayefuta wasiojulikana wote,walevi wa madaraka wote na kuwafanya watu waishi kwa Uhuru na kwakujiamini ndani ya nchi yao huku akilifungua Taifa kimataifa.

Nitaendelea na tafakuri yangu

Nchi inayoendeshwa bila kufuata miongozo ya katiba unaweza kutana na tafakuri kama hizi ! Tatizo si kumpata Raisi kama huyu tatizo ni dira ya taifa ya namna ya kuendesha nchi kwa muda mrefu wakati Tanzania inakuwa inaanza upya kila kitu kila baada ya miaka mitano ya uchaguzi nchi zilizoendelea zinafanyia kazi mipango iliyowekwa miaka 100 nyuma ambayo hata wanaoongoza nchi hizo hawakuwepo!

chama cha Mapinduzi kimeongoza nchi hii tangu uhuru lakini kimeshindwa kabisa kumaliza matatizo ya kawaida tu kama maji ,umeme ,matundu ya vyoo shuleni na madarasa kwa miaka yote kuna sehemu hazina hata madaraja ya kuunganisha vijiji

Kila mwaka fedha inayotajwa kupotea kwa mujibu wa ripoti za CAG zingeweza kumaliza matatizo hayo mojamoja kwa nyakati lakini ni ndoto !

Huenda huyu akawa asipatikane tena kwa sababu ameweza kuitumbukiza nchi kwenye matatizo makubwa ya kimikataba kuliko watangulizi wake kinachotumika na kuonekana kwa macho huenda ni robo tu ya kile kinachoibwa na kufujwa hakuna jipya pombe mpya kikombe cha zamani
 
Kama Taifa hebu tutafakari haya:

1. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayeweza kuongeza kwa mkupuo wanafunzi wapya elfu 29 kwenye HESLB,Simnakumbuka mtangulizi wake yeye ilimchukua miaka mitano ili kufikisha wanafunzi wapya elfu 32 kwenye HESLB,

2. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayekusanya kodi kwa haki kwa wastani wa TZS 1.72 Trilioni kwa mwezi bila ya kukimbiza wafanyabiashara wala kuwadhulumu chochote!!?.

3. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayewahurumia na kuwarejesha shuleni watoto wa masikini waliopata mimba wakiwa shuleni kwa kurubuniwa kwa chips na mserereko?!!

4. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayekuza uwekezaji wa nje FDIs mara sita zaidi kwa miezi sita tu yaani kutoka $510M hadi $3BL!!?.

5. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine kwa miezi saba tu ataongeza hifadhi yetu ya fedha za kigeni kwa TZS 4.4Trilion yaani kutoka $4.8BL mwezi March hadi $6.7BL mwezi September 2021!!?.

6. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayenunua ambulance 395 na magari 214 kwa mkupuo kwaajili ya chanjo wakati mtangulizi wake kwa miaka mitano alinunua ambulance 117 tu bila magari ya chanjo.

7. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayenunua CT SCAN kwenye kila mkoa,Wote mnakumbuka tangu uhuru zilikuwepo CT SCAN mbili tu Tanzania bara na visiwani.!!?

8. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayetununulia MRI kwenye kila hospitali ya kanda nchi nzima sina historia kama tuliwahi kuwa na MRI Machine yeyote kabla ya hizi mpya za mama Samia Suluhu Hassan,

9. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakaye tununulia "Water drilling holes machines " 25 toka mashine moja ya Halmashauri ya Tarime tuliyokuwa nayo,Huyu ni Rais anayekwenda kumaliza shida ya maji kwa vitendo Tanzania.

10. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayetujengea madarasa elfu 15 ya Sekondari na mengine elfu 3 ya Shule za Msingi shikizi, Hii ni Sawa na wastani wa kila shule moja ya sekondari ya Serikali kujengewa madarasa mapya manne (4).

11. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayewapanga Wamachinga wetu kwenye Permanent Premises ili watambulike na kupewa mikopo na huduma nyingine mbalimbali za kibiashara kama Semina na mafunzo kirahisi badala ya kuwatumia kama mtaji wa kisiasa na kuwaacha wakiogelea kwenye Umasikini toka mwaka mmoja wa Uchaguzi na mwingine.

12. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayefuta wasiojulikana wote,walevi wa madaraka wote na kuwafanya watu waishi kwa Uhuru na kwakujiamini ndani ya nchi yao huku akilifungua Taifa kimataifa.

Nitaendelea na tafakuri yangu

Inategemea unamfananisha nani but yoote hayo nimambo yakawaidaa saana nikama ujisifu kwawatu kuwa
1.) Huwa unatawaza
2.) Unapigaga mswaki
3.) Unakulaga misosi
4.) Unalalaga kitanda NK. NK.
Sasa Acha ujinga na uchawa rais mbunifu na anayeasisi mambo yasiyo ya kawaida ndiyo tunamhitaji siyo anayechkua Kodi Yako akanunua CT scan unasifu...jinga wewe...
Maeneo nyeti yakusifu
1.) ELIMU - Aifumue na kuiunda upyaa Toka primary mpaka chuo iendane na Dunia yaleo.
2.) NISHATI - Sio kutupiga siasa umeme mwingi wauhakika kushawishi uwekezaji...tunaimba tuu Nyerere dam miaka inasonga
3.) DEMOKRASIA - Tume huru,katiba Bora na haki na usawa katika vyama vya siasa.
4.) AFYA - Huruma Bora na nafuu,dawa beinzuri,upatikanaji wa madaktari wengi na mabingwa sio nchi nzima mabingwa hawafiki aftatu.
5.) AJIRA - Viwanda vidogo vidogo vyamaana kupitia veta,Sido na teknolojia yamaana kufundishwa huko
6.) KILIMO - Chakisasa kisitegemee mvua Bali umwagiliaji,ufugaji wakisasa ngazi za wilaya sio vijikundi vyabashe vyakisiasa.
7.) USAFIRI - Mwambie bado kunavijiji wanaozewa namazao huku kunamasoko mazao hayo hayanunuliki humuhumu ndani ya nchi kisa hakuna USAFIRI.
8.) TAASISI IMARA - TAASISI nyingi ni hovyo na Zina underperform kuanzia BUNGE,mahakama,mabenki,TANESCO,MAJI,TAKUKURU,tanapa,Tcra,Nida taaaja mpaka uchoke maana nikaribu zooote...nchi ni mifumo na TAASISI zake ziwe imara.
Mwambieni aanze nahivyo vichache muache kumsifu kipumbafu Kila anapogusa pitty issues malofa ninyi
 
Inategemea unamfananisha nani but yoote hayo nimambo yakawaidaa saana nikama ujisifu kwawatu kuwa
1.) Huwa unatawaza
2.) Unapigaga mswaki
3.) Unakulaga misosi
4.) Unalalaga kitanda NK. NK.
Sasa Acha ujinga na uchawa rais mbunifu na anayeasisi mambo yasiyo ya kawaida ndiyo tunamhitaji siyo anayechkua Kodi Yako akanunua CT scan unasifu...jinga wewe...
Maeneo nyeti yakusifu
1.) ELIMU - Aifumue na kuiunda upyaa Toka primary mpaka chuo iendane na Dunia yaleo.
2.) NISHATI - Sio kutupiga siasa umeme mwingi wauhakika kushawishi uwekezaji...tunaimba tuu Nyerere dam miaka inasonga
3.) DEMOKRASIA - Tume huru,katiba Bora na haki na usawa katika vyama vya siasa.
4.) AFYA - Huruma Bora na nafuu,dawa beinzuri,upatikanaji wa madaktari wengi na mabingwa sio nchi nzima mabingwa hawafiki aftatu.
5.) AJIRA - Viwanda vidogo vidogo vyamaana kupitia veta,Sido na teknolojia yamaana kufundishwa huko
6.) KILIMO - Chakisasa kisitegemee mvua Bali umwagiliaji,ufugaji wakisasa ngazi za wilaya sio vijikundi vyabashe vyakisiasa.
7.) USAFIRI - Mwambie bado kunavijiji wanaozewa namazao huku kunamasoko mazao hayo hayanunuliki humuhumu ndani ya nchi kisa hakuna USAFIRI.
8.) TAASISI IMARA - TAASISI nyingi ni hovyo na Zina underperform kuanzia BUNGE,mahakama,mabenki,TANESCO,MAJI,TAKUKURU,tanapa,Tcra,Nida taaaja mpaka uchoke maana nikaribu zooote...nchi ni mifumo na TAASISI zake ziwe imara.
Mwambieni aanze nahivyo vichache muache kumsifu kipumbafu Kila anapogusa pitty issues malofa ninyi
Chawa hizi akili hawawezi kua nazo.hongera sana kwakuweka mambo ya msingi kwa njia rahisi inayoeleweka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom