Tanzania hoi kwa furaha duniani

Mkulima

JF-Expert Member
Feb 4, 2007
1,034
1,022
Report mpya ya UN inayozungumzia furaha kwa mataifa ya dunia imetoka tarehe 24 March na Tanzania imekuwa ya 131 kati ya nchi 143.

Miaka ya karibuni Tanzania ilikuwa ndani ya kumi za mwisho. Mwaka huu tumetoka kwenye hizo kumi za mwishoni.

IMG_3739.jpeg

 
Report mpya ya UN inayozungumzia furaha kwa mataifa ya dunia imetoka tarehe 24 March na Tanzania imekuwa ya 131 kati ya nchi 143.

Miaka ya karibuni Tanzania ilikuwa ndani ya kumi za mwisho. Mwaka huu tumetoka kwenye hizo kumi za mwishoni.


Hii ni sawa na mwanafunzi aliyefeli lakini anafurahia kwa vile katika mpangilio wa majina, jina lake limetangulia kuorodheshwa.

Siku zote, balow 50%, wewe ni failure.
 
Nikashangaa eti mama juzi anaongea eti Tanzania ni ya 4 sijui 6,sijui 8 kwa furaha?.
Nikacheka. Nikajua tayari machawa wamefanikiwa kumuingiza mama chaka au kujifariji ingali ukijua kabisa 90% ya wananchi masikini wa kutupwa watapata wapi furaha il-hali mlo mmoja tu kwa siku unawasumbua?.

Achilia mbali watapata wapi furaha il-hali wale wenye kutumia nguvu kutafuta riziki kwa kutumia umeme unawakatikia siku nzima.
Wafanyabiashara kunyanyaswa na TRA watapata wapi furaha?
 
Report mpya ya UN inayozungumzia furaha kwa mataifa ya dunia imetoka tarehe 24 March na Tanzania imekuwa ya 131 kati ya nchi 143.

Miaka ya karibuni Tanzania ilikuwa ndani ya kumi za mwisho. Mwaka huu tumetoka kwenye hizo kumi za mwishoni.

View attachment 2945752
Tuliambiwa pia ni watatu Africa kwa kukamata Masanga. Masanga hayakutuinua kabisa?
 
Back
Top Bottom