Hao UN ni waonevu! Tanzania tulistahili kabisa kuwemo kwenye hizo nchi 5 bora kabisa za mwisho!Report mpya ya UN inayozungumzia furaha kwa mataifa ya dunia imetoka tarehe 24 March na Tanzania imekuwa ya 131 kati ya nchi 143.
Miaka ya karibuni Tanzania ilikuwa ndani ya kumi za mwisho. Mwaka huu tumetoka kwenye hizo kumi za mwishoni.
View attachment 2945752