ACT chama cha Zito, CUF chama Lipumba, CHADEMA chama cha Mbowe, NCCR chama cha Mbatia nk. sioni chama cha upinzani hata akichaguliwa rais anaweza kupigwa makofi na mwenyekiti au kufukuzwa chama.
Mtazamo wangu baada ya uchaguzi 2020 kiongozi na mmiliki wa chama kimoja wapo aachie chama kiwe cha wananchi, chama kijengwe na mfumo kama ilivyo CCM, mtanzania mwenyewe sifa aweze kuwa mwenyekiti.
Watanzania niwapole na wastaarabu sana siasa za kibabe zitupiliwe mbali zifanywe siasa za kistaarabu kwa kutumia akili nyingi kuliko ubabe maana kukunja ngumi kwa panga atakae umia ni alokunja ngumi.
Nimtazamo wangu tu.
Mtazamo wangu baada ya uchaguzi 2020 kiongozi na mmiliki wa chama kimoja wapo aachie chama kiwe cha wananchi, chama kijengwe na mfumo kama ilivyo CCM, mtanzania mwenyewe sifa aweze kuwa mwenyekiti.
Watanzania niwapole na wastaarabu sana siasa za kibabe zitupiliwe mbali zifanywe siasa za kistaarabu kwa kutumia akili nyingi kuliko ubabe maana kukunja ngumi kwa panga atakae umia ni alokunja ngumi.
Nimtazamo wangu tu.