Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 6,409
- 8,911
Hii si fair hata kidogo, sidhani kama nchi ilikuwa obsessed na Uchaguzi wa Kenya kama Tanzania yetu mpaka tumepeleka Rais wetu Mstaafu kusimamia uchaguzi.
Yaani nimesoma gazetini wageni waliolikwa na Ruto naona Museveni, Nigeria, Ghana, AK, Ethiopia, Misri mpaka Qatar na Uingereza, China, India mpaka Russia lakini nimetafuta jina la Tanzania yetu bila ya mafanikio.
Jamani tunakosea wapi? Dunia nzima imetajwa, sisi hola, …
Yaani nimesoma gazetini wageni waliolikwa na Ruto naona Museveni, Nigeria, Ghana, AK, Ethiopia, Misri mpaka Qatar na Uingereza, China, India mpaka Russia lakini nimetafuta jina la Tanzania yetu bila ya mafanikio.
Jamani tunakosea wapi? Dunia nzima imetajwa, sisi hola, …
President-elect William Ruto invites over 40 Heads of State for his inauguration
Museveni, one of the few leaders who have had phone conversation with Ruto, will attend.
nation.africa