Jaman wana jamii, naomba msaada kwa hili suala kabla sijaliwa kekundu, maana kipindi hiki ajira ni ngumu na watu wanataka kuponea kwa wenzao kwa kuwatapeli kizembe.
Link ya application form ni Went Wearth 2014-Tanzania Gas and Oil Personnel Training Program
Haada ya kutuma maombi , bwana mmoja anaejulikana kwa jina PETER MBONDE namba yake ni 0769121741,
akanitumia sms ikisema hivi
"Habari ya jioni, baada ya kupokea maombi yako ya kujiunga na mafunzo ya gas na oil kufanyiwa kazi, CVyako imefanikiwa kupita hatua za awali, hivyouongozi wa mafunzo unakutaka kutuma ada ya kujiunga na mafunzo ili kukamilisha usajili wako, nafasi hizi ni chache hivyo unaombwa kuituma pesa hiyo mapema kuepusha nafasi yako kupewa mtu mwingine, njia ya kutuma ni kwa M PESA , Tsh 50000. namba 0769121741"
Link ya application form ni Went Wearth 2014-Tanzania Gas and Oil Personnel Training Program
Haada ya kutuma maombi , bwana mmoja anaejulikana kwa jina PETER MBONDE namba yake ni 0769121741,
akanitumia sms ikisema hivi
"Habari ya jioni, baada ya kupokea maombi yako ya kujiunga na mafunzo ya gas na oil kufanyiwa kazi, CVyako imefanikiwa kupita hatua za awali, hivyouongozi wa mafunzo unakutaka kutuma ada ya kujiunga na mafunzo ili kukamilisha usajili wako, nafasi hizi ni chache hivyo unaombwa kuituma pesa hiyo mapema kuepusha nafasi yako kupewa mtu mwingine, njia ya kutuma ni kwa M PESA , Tsh 50000. namba 0769121741"