Tanzania Election 2010 Results as per NEC

tutabanana hapahapa mpaka kieleweke bado ccm wanatufanya mbumbu kiasi hicho?........watz mko wapi?......haki zenu mwazijua au?.............ccm na serikali yake waache kuchezea watz
 
Tena Longido, hapo ndo utaijua CCM ni zimwi gani!!!:A S angry:
Hawa NEC wanataka kutimiza walichokipanga na REDET.... Kamwe Longodo, Babati na Siha CCM hawawezi kupata ushindi huo wa 80% plus...Hawa ni wachakachuaji waliokubuhu...
 
Thanks Mkuu, ila nashangaa mbona yale wanayoshinda wapinzani kama tanga lindi, mbeya, mwanza arusha nk matokeo yanakua magumu kutoka??


Wanapunguza kura la sivyo wakiyatoa mila mpango watastukia JK kabwagwa.
 
Naomba kuuliza? Hivi inakuwaje matokeo ya Longido yanawafikia NEC Dar es salam kabla hata ya Dar yenyewe.
 
jamani wanajamii haya matokeo mbona ya upinzai hayatangazwi yanatangazwa ya ccm tu?:sad:
kwanza wanaanza kutuua kisaikolojia kwa kutangaza majimbo ya ccm waliyoshinda huku wakiendelea kuchakachua, then wakitangaza matokeo yao tujue rais wao kashinda kwa kura nyingi, E MOLA WE TUSAIDIE WANA WAKO DHIDI YA HUYU GOLIATI!!!!!
 
Hawa NEC wanataka kutimiza walichokipanga na REDET.... Kamwe Longodo, Babati na Siha CCM hawawezi kupata ushindi huo wa 80% plus...Hawa ni wachakachuaji waliokubuhu...

ww hujui MAJIMBO HAYO YANA MAPORI MENGI KWA HIYO NI RAHISI KUWEKA VITUO BANDIA KIBAO NA KWA KUWA WAPINZANI HAWANA HELA SI RAHISI KUFUATILIA KWANI MIUNDO MBINU NI FINYU KAMA HUNA USAFIRI WA UHAKIKA, KINGINE,BADO WAMASAI WENGI WANAWAKUBALI WATU WANAOONGEA LUGHA ZAO
 
Jamani vp?mbona motokeo redioni yanaonesha Slaa hali mbaya kuliko maelezo.Kinyume na hapa JF

bora mwnzangu umeona maana naona humu wanampaka Slaa mafuta kwa mgongo wa chupa, matokeo yanaonyesha jamaa kaelemewa lkn humu JF hawataki kuelewa
 
tumewajua na haya tulitegemea yatatokea hasa kwa uroho huu wa ccm wa kusema " USHINDI KWAO NI LAZIMA"
 
NEC wanacheza na saikoloji ya watu, wanatangaza kwanza majimbo aliyoshinda JK ili hata wakichakachua mengine muone ndo general trend
 
ambacho sielewi ni pale wanaposema 'system ziko down'....jamani kujumlisha na kuto ni hesabu zinahitaji systems za aina gani?....imekuwa calcus hiyo....!yale yale ya Bush na Gore...
 
Nipe ukweli mkuu, humu ni ushabiki tu. Let's write the truth. Slaa alifaa awe bungeni sasa tutammiss. Anyway, next turn asikubali tena kugombea urais, anafaa ubunge tu.
kweli kabisa, Mbwana Slaa alitakiwa kuwa Mbunge na sio Rais, tutamkumbuka kwenye bunge lijalo na hata yeye atakumbuka kuwa bungeni, next time asithubutu kukubali kungombea Urais
 
wanataka kuchakachua hadi akili zetu lazima kieleweke mwaka huu Slaa ana majimbo yake ambayo atashinda kwa kishindo sana, ..................lakini BigUp CUF zanzibar!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:smile-big:
 
Back
Top Bottom