Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 51,821
- 117,357
Wanabodi,
Niko katika ukumbi huu wa Paradise City Hotel, ambapo kwa mara ya kwanza tangu kufanyika kwa uchaguzi mkuu ile jana, Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC, ndio inatangaza rasmi matokeo ya urais.
Chumba kimefurika wanahabari wa kitaifa na kimataifa, pia TV ziko live kutoka ukumbini hapa, nitawaletea kinachojiri, ile wale wenye access na TV fuatilieni na kutupa updates
CLICK HERE TO DOWNLOAD ALL RESULTS IN EXCEL FORMAT
Niko katika ukumbi huu wa Paradise City Hotel, ambapo kwa mara ya kwanza tangu kufanyika kwa uchaguzi mkuu ile jana, Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC, ndio inatangaza rasmi matokeo ya urais.
Chumba kimefurika wanahabari wa kitaifa na kimataifa, pia TV ziko live kutoka ukumbini hapa, nitawaletea kinachojiri, ile wale wenye access na TV fuatilieni na kutupa updates
CLICK HERE TO DOWNLOAD ALL RESULTS IN EXCEL FORMAT