Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,304
Habari za usiku mabibi na mabwana.
Ninataarifa mbaya kwa watumiaji wa nishati ya mafuta hususan wale wenye magari na wafanyabiashara ya usafiri. Bei mpya elekezi inayotoka kila mwezi ipo tayari na inategemewa kuanzza kutumika kesho.
Bei hii mpya inasemekana itaongezeka kwa shilingi 300 kwa lita ya petrol na diesel sio shilingi 30 ni mia tatu kwa maneno. Kama unatia mafuta ya mjali hakikisha unapiga full tank!
Kupanda kwa mafuta ina maana moja tu! Nauli za mabasi na daladala zitapata! Usafirishaji wa bidhaa kwenyda masokoni nao. Utaongezeka bei hii itafanya bishaa kupanda bei pia.
Nawatakia usiku mmwema wadau.
Ninataarifa mbaya kwa watumiaji wa nishati ya mafuta hususan wale wenye magari na wafanyabiashara ya usafiri. Bei mpya elekezi inayotoka kila mwezi ipo tayari na inategemewa kuanzza kutumika kesho.
Bei hii mpya inasemekana itaongezeka kwa shilingi 300 kwa lita ya petrol na diesel sio shilingi 30 ni mia tatu kwa maneno. Kama unatia mafuta ya mjali hakikisha unapiga full tank!
Kupanda kwa mafuta ina maana moja tu! Nauli za mabasi na daladala zitapata! Usafirishaji wa bidhaa kwenyda masokoni nao. Utaongezeka bei hii itafanya bishaa kupanda bei pia.
Nawatakia usiku mmwema wadau.