johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,129
Bei ya Mafuta na Dhahabu imeanza kupanda huko Kwenye vyanzo kufuatia Vita inayoendelea Kati ya Israel na Palestine
Source BBC
Source BBC
maji, dola, umeme, petrol n.k ni balaa tupuMaisha yanazidi kuwa Magumu ukichanganya na mgao wa umeme.
Ni haki yao, maana ni vya kwao. Sisi tupandishe bei ya Parachichi na Korosho. Tusipoweza ku control resources zetu, hasa madini, tutabaki tunawalaumu wengine.Lakini Saudi Arabia na OPEC wanajipandishia tu bei za mafuta kwa visingizio mbalimbali ili wapate faida hawana huruma hata kidogo.
Vitapanda tu kumbuka Dizeli ikipanda kila kitu kinapanda labda Cement ya Dangote ambae ameanza kutumia Gesi kusafirisha bidhaa zake.Ni haki yao, maana ni vya kwao. Sisi tupandishe bei ya Parachichi na Korosho. Tusipoweza ku control resources zetu, hasa madini, tutabaki tunawalaumu wengine.
Hakika....Lakini Saudi Arabia na OPEC wanajipandishia tu bei za mafuta kwa visingizio mbalimbali ili wapate faida hawana huruma hata kidogo.
We jamaa umetizama kitoto sanaNi haki yao, maana ni vya kwao. Sisi tupandishe bei ya Parachichi na Korosho. Tusipoweza ku control resources zetu, hasa madini, tutabaki tunawalaumu wengine.
Hata kipindi cha Ukraine na Urusi ni Saudi Arabia na OPEC ndio waliopandisha bei.Ajabu hii....
Mafuta hayatoki Israel wala Palestine.....
Vita vinaweza kuvuruga utaratibu wa kupita meli za mafuta mfereji wa suez.Ajabu hii....
Mafuta hayatoki Israel wala Palestine.....
Wewe ni mngeeseeer?!!!safi sana, ndiyo maendeleo yenyewe hayo
CCM mbele kwa mbele
Meli zinazokuja huku Uswahilini hazipiti Suez.Vita vinaweza kuvuruga utaratibu wa kupita meli za mafuta mfereji wa suez.