nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
Hivi Somalia kuna biashara gani mpaka izalishe matajiri wa kuja kuwekeza Tanzania? What i know ni kwamba hawa jamaa wanapasuana usiku na mchana na wanashida vibaya mno mpaka wengine wanaamua kupakimbia kwa kupakiwa kwenye makontena kama unga wa ngano. Inamaana hizi opportunities wafanyabiashara wa hapa nchini kwetu kama kina Mzee Mengi hawazioni au ndio kuogopa alichowahi kukisema wakati wa kuuzwa kwa Kilimanjaro Hotel, (MCHEZO MCHAFU). Uwekezaji huu hauwezi kufanywa na mashirika yetu ya hifadhi ya jamii kama NSSF, PPF, LAPF, PSPF? What is the aim of CCM, ni kuuza nchi vipande vipande then iweje sasa....wahame nchi au....
SOMALIA kuna GOLD, na p nia wanasema Makao Makuu yalioko Al-Shaabab kuna GAS na OIL nyingi
na MIRUNGI wana-export inawaingizia pesa si Mchezo...