2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 2,982
- 4,457
Unapita vituo vya polisi vya mkoloni unaona kimeandikwa "Police station" au gari ya polisi inaandikwa"police".
Nacheka kwa dharau sababu kwani lugha ya taifa ni ipi? Au tuna lugha ngapi rasmi kwenye taifa letu?
Kenya wanaweza kuandika hivyo sababu wanatumia lugha mbili za taifa.
Angalia kwa mfano hawa TFF. Sasa hapa wamemwandikia nani? Au ndio ile wapo kimataifa zaidi na sio kitaifa?
Wikipidia mwenyewe kuna lugha mbalimbali ili kukidhi mahitaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nacheka kwa dharau sababu kwani lugha ya taifa ni ipi? Au tuna lugha ngapi rasmi kwenye taifa letu?
Kenya wanaweza kuandika hivyo sababu wanatumia lugha mbili za taifa.
Angalia kwa mfano hawa TFF. Sasa hapa wamemwandikia nani? Au ndio ile wapo kimataifa zaidi na sio kitaifa?
Wikipidia mwenyewe kuna lugha mbalimbali ili kukidhi mahitaji.
Sent using Jamii Forums mobile app