kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 18,712
- 11,274
Wewe ndio umequote Biblia mara kibao kwenye hii thread. Naomba uendelee kutusaidia.Mambo ya Walawi 11:3-6 na 9-12 inasemaje?
mtu unawaza kufanya ngono mbinguni! Mtume wako anawaza ngono na Bikra Maria, nikujibu wakati unaandika na kufikiri anticlockwise? ushetani?
Umenifurahisha mkuu!Mkuu reformer, hapo walipo wana hasira na wewe! Watakujadili hadi msikitini
Usikimbie mkuu..bado hujatusaidia "kuquote" hiyo mistari ya hicho kitabu tunachofuata kama nilivokuomba. TafadhaliTeh teh teh teh!
Wanajukwaa I rest my case!
Ni bora kumuuliza kondoo maswali! Huenda baada ya miaka kadhaa akatokea kukujibu!
Kila la kheri wanajukwaa! I am out!
I have got too much to loose speaking to an empty head!
Ha ha ha haaaa!!Usikimbie mkuu..bado hujatusaidia "kuquote" hiyo mistari ya hicho kitabu tunachofuata kama nilivokuomba. Tafadhali
Akhsante kaka kwa mchango wako. Kimsingi uislamu ni dini iliyo systematic katika mafunzo yake na pia zimewekwa njia za kuifahamu dini ya uislamu. Hakuna nafasi ya mtu binafsi kuingiza ufahamu wake ktk dini hii unaopingana na wale waja wema waliotangulia(maswahaba r.a na waliowafuatia wao kwa wema mpaka siku ya mwisho). Kwahiyo hakuna njia yeyote muislamu au asiyekuwa muislamu anaweza kuleta ufahamu wake utakaopelelea upotoshaji wa uislamu. Samahani kwa kukuhubiri dini. Matendo ya makundi kama alshabab, Boko haram, alqaida n.k yanayojinasibisha/kunasibishwa na uislamu kiuhalisia yako mbali na uislamu. Tatizo ni kuwa propaganda imeshatengenezwa kwa makusudi na dunia kuhakikisha sura nzuri ya uislamu inaharibika kwa kuhusisha matukio ya kihalifu yanayofanywa na waislamu kuwa ni kutokana mafunzo yatolewa na dini. Lakini pia waislamu wenyewe kutokana na madhila wanayokumbana nayo kutoka kwa tawala mbalimbali duniani, inapotokea matatizo yanawapata wadhulumu wao, lazima nao wafurahie kulingana na yale yanayowasibu kutoka kwa wadhulumu hao. Chukulia mfano wewe unafiwa na mtoto wako kipenzi labda kwa ugonjwa wa malaria na jirani yako akawa anafurahia msiba wako je akipatwa na tatizo na wewe kama subira huna utafanyaje? Waislamu wanaandamana kila kukicha duniani na kuonyesha kutokubaliana na matendo mengi ya dhulma dhidi yao na hata wenzao wa dini nyingine lakini ni nani wa kuwasikiliza? Nani wa kuyapa airtime matukio yale wayafanyayo waislamu? Juzi waislamu walizuia makanisa yasichomwe kule Misri, nani akiwemo Cnn,BBC na wengineo waliyoyapa kipaumbele matukio yale? Kwahiyo utaona chuki, dhulma na propaganda dhidi ya uislamu na waislamu ndio matokeo ya matatizo haya. Na huu ni mpango wala hayatokei kwabahati mbaya. Dunia itakuwa salama ukiwepo uadilifu na ukikosekana kamwe tusitegemee haya kuisha.
Wayne,
Ahsante sana kwa mchango wako.
Mimi sijalalamika.
Ninachokifanya ni kueleza ukweli kama niujuavyo.
Kile ambacho kimepotoshwa au hakijulikani basi mie hukieleza.
Mfano ni hii mada niloweka hapa jamvini.
Angalia mfano huu mmoja tu.
Wengi wakiamini kuwa TANU imeasisiwa na Nyerere.
Lakini ukweli ni kuwa hata kabla ya Nyerere kuja Dar es Salaam Abdulwahid Sykes alishatoa wazo hilo kwa Chief David Kidaha Makwaia.
Huu ulikuwa mwaka 1950.
Yapo mengi nimeeleza.
Sasa ulalamishi uko wapi katika maelezo yangu?
M
mtu unawaza kufanya ngono mbinguni! Mtume wako anawaza ngono na Bikra Maria, nikujibu wakati unaandika na kufikiri anticlockwise? ushetani?
To this man being an ISLAM is enough to be mentioned in his list of heroes.Down to his list he forgot to put AL SHABAAB,BOKO HARAM,JANJAWEED,AL QAEDA,OSAMA,MOHAMED FARA AIDEED,SHEIKH PONDA....OMAR AL BASHIR BUT NOT GREAT LEADER LIKE MOAMAR GHADAFI.
John 3:16
For God so loved the world, that he gave his only begotten Son, that whosoever believeth in him should not perish, but have everlasting life.
[video=youtube_share;1A3xBFD9ExI]http://youtu.be/1A3xBFD9ExI[/video]
Sasa tazama Qur'an 112:1 - 4
Say, "He is Allah , [who is] One,
Allah , the Eternal Refuge.
He neither begets nor is born,
Nor is there to Him any equivalent."
Waleikum Salaam Wayne,
Kaka
Una zile tambo za kimanyema...teh...teh..ndizo nazungumzia...punguza mzee wangu...mimi ni mkristo, na binafsi nakukubali sana, except pale unapoingiza udini na kuhusisha uhuru wa tanganyika.
Ninavyofahamu mimi na wewe unalijua hilo deep down kwenye moyo wako...UHURU WETU HAUKUWA NA RANGI YA DINI YEYOTE.
Turudi kwenye mada, umetoa mfano wa kuanzishwa kwa TANU, nikuulize!...
Je?!, ungezungumzia mchango wa Mufti Hassan bin Amir bila ya kutaja dini yake kungekuwa na tatizo gani...nani asiyejua kuwa jina la Hassan ni la mwislamu....nani asiyejua mchango wa bibi Titi Mohamed...mpaka uhusishe bibi yetu yule na dini yake ya kiislamu na kusema wamesahaulika???
Je, bibi Titi alikuwa na maono ya kupigania nchi huru yenye mgawanyiko kama huu wa kidini na kumwagiana tindikali....nina uhakika founders wa taifa hili, bibi Titi akiwemo, Hamza Mwapachu na wengine, wasingekubaliana na haya maandishi yako ambayo wewe unaamini unazungumza kwa niaba yao.
Naamini kuwa huwatendei haki watanzania ambao hawajui unayoyajua wewe...
Staili uliyochagua itapelekea hata kazi nzuri uliyofanya vizazi vijavyo washindwe kujua TANU kaanzisha nani?
Acha legacy...acha jina la Mohamed Said....lizungumze hata kutoka mbali hata pale ambapo ALLAH ataamua vinginevyo...kama ambavyo leo Abul Sykes na Dosa wanasema na watanganyika wakiwa huko waliko...
Acha jina ambalo uzao wako utajivunia
Asalaam aleikum tena
fafanua na hii: John 16:2 they shall put you out of the synagogues:yea, the time cometh, that whosoever killeth you will think that he doeth God service.
Kwa ufupi ni kuwa mtaua na kufikiri mnafanya ibada kwa Mungu! Kumbe shetani
John 3:16
For God so loved the world, that he gave his only begotten Son, that whosoever believeth in him should not perish, but have everlasting life.
[video=youtube_share;1A3xBFD9ExI]http://youtu.be/1A3xBFD9ExI[/video]
Sasa tazama Qur'an 112:1 - 4
Say, "He is Allah , [who is] One,
Allah , the Eternal Refuge.
He neither begets nor is born,
Nor is there to Him any equivalent."
Waleikum Salaam Wayne,
Tambo za Kimanyema...sina la kusema katika hili.
Kutaja Waislam...
Sasa vipi nitamwandika Sheikh Hassan bin Amir na mchango wake katika uhuru na ndani ya TAA Political Subcommittee nikwepe kutaja sifa zake na huu Uislam ukiwa moja ya sifa zake kubwa?
Vipi nitaandika historia ya Dedan Kimathi naiche kueleza kuwa alikuwa Mkikuyu?
Utaweza kweli kumwadika Dedan Kimathi nje ya hayo?
Kama hujatishika na Ukikuyu wa Dedan Kimathi usitishike na Uislam was Sheikh Hassan bin Amir.
Lakini kinachokutia hofu wewe ndicho kilichomtia hofu Nyerere ikawa watu hawa anaogopa kuwataja hadi anaingia kaburini.
Lakini je ndiyo kuwa hawakuwapo na hawakuuunda TANU na kuupigania uhuru wa Tanganyika?
Ama kuendelea kutajika au vinginevyo hili si jambo linalinishughulisha.
Kuwa mimi nazungumza kwa niaba ya ile ''team'' ya akina Hamza Mwapachu hili si kweli.
Mimi naandika historia kama nilivyoipokea kwa wazee wangu na kama utafiti ulivyoonyesha na mie kuipa tafsiri yangu.
Yapo mengi katika mchango wako tungeweza kuyazungumza lakini hapa panatosha.
Kutaja Waislam...
Sasa vipi nitamwandika Sheikh Hassan bin Amir na mchango wake katika uhuru na ndani ya TAA Political Subcommittee nikwepe kutaja sifa zake na huu Uislam ukiwa moja ya sifa zake kubwa?
[/SIZE][/FONT]Vipi nitaandika historia ya Dedan Kimathi naiche kueleza kuwa alikuwa Mkikuyu?
Utaweza kweli kumwadika Dedan Kimathi nje ya hayo?
Kama hujatishika na Ukikuyu wa Dedan Kimathi usitishike na Uislam was Sheikh Hassan bin Amir.