Mzee wa Usafi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2008
- 644
- 292
sasa nini kilitokea mpaka viwanda hivyo vikatoweka?
1. Gharama kubwa za uzalishaji kwa unit moja, kwani kila kilicho zalisha lazima kilipia wachezaji wa timu za mipira wa miguu, netball, wacheza ngoma nk.
2. Ziara za viongozi kwenye viwanda, memo za zawadi
3. wafanyakazi wengi kuliko walio hitajika nk
"POOR MANAGEMENTS"
Hakuna kiwanda kilicho kuwa kikitoa faida bali viliendeshwa kwa ruzuku ya wakulima na wafanyakazi. Je unataka turudie zama HIZO
uwekezaji unafanyakazi eastern Europe bila shida, south africa nk why not Tanzania?
UBINAFSI WA VIONGOZI WA CCM
1. Gharama kubwa za uzalishaji kwa unit moja, kwani kila kilicho zalisha lazima kilipia wachezaji wa timu za mipira wa miguu, netball, wacheza ngoma nk.
2. Ziara za viongozi kwenye viwanda, memo za zawadi
3. wafanyakazi wengi kuliko walio hitajika nk
"POOR MANAGEMENTS"
Hakuna kiwanda kilicho kuwa kikitoa faida bali viliendeshwa kwa ruzuku ya wakulima na wafanyakazi. Je unataka turudie zama HIZO
uwekezaji unafanyakazi eastern Europe bila shida, south africa nk why not Tanzania?
UBINAFSI WA VIONGOZI WA CCM