Mlalahoi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2006
- 2,182
- 883
MamboJambo,
Ungefanya homework yako kwanza kabla ya kupost hii kitu!! Inaeleweka kuwa Tanzania ni maskini lakini si kwa kiwango hicho!!! Hizi data zako ni za per capita ya mwaka 2000!! Hebu nenda kwenye website ua UNDP tafuta the latest HDR uone si km unavyopotosha hapa....
Kwa kukusaidia tu angalia hapa... http://hdr.undp.org/en/media/HDR_2009_EN_Complete.pdf
Japo hizo data zinaweza kuwa outdated,cha muhimu hapa ni kwamba Tanzania ni miongoni mwa nchi maskini kabisa duniani,na cha muhimu zaidi ni kwamba hatustahili kuwa katika nafasi hiyo.Hizo latest data unazotaka tuzitumie kwenye reference zinabadili ukweli gani kuhusu umasikini wetu?Kama pato la wastani mwaka 2000 lilikuwa dola 900 na sasa dola 1208 je hudhani kuwa sasa tuko katika hali mbaya zaidi kuliko tulivyokuwa mwaka 2000 (ukitilia maanani kushuka thamani kwa shilingi na vigezo vingine vya kifedha)?