Asante mdau. Ngoja nipitiepitie.mpaka hapo hongera aise, Mungu akujalie ukamate kitengo.......sasa kwa ushauri tu kuna post iliwekwa humu kuhusu tanroad morogoro ukiweza kaingie mule coz wachangiaji wengi walikua nao wameitwa, then jaribu kuwauliza maswali yao yalikuaje huko moro