peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,829
- 21,460
Niwe wazi na msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Serikali imeshindwa kujenga Kwa kiwango cha kimataifa barabara kutoka Tengeru kwenda Moshi mjini?
Sasa imeanza kuziba viraka barabara yote hiyo tena bila aibu!
Tanroads wamelala usingizi.
Samia anagawa hela kwenye Mchezo.
Barabara hiyo inapitisha malori kwenda Kenya, Uganda, Burundi, Rwanda, Mwanza na inaunganisha uwanja wa ndege wa Kilimanjaro international airport.
Ni aibu tena CCM haioni aibu iliyopo.
Serikali imeshindwa kujenga Kwa kiwango cha kimataifa barabara kutoka Tengeru kwenda Moshi mjini?
Sasa imeanza kuziba viraka barabara yote hiyo tena bila aibu!
Tanroads wamelala usingizi.
Samia anagawa hela kwenye Mchezo.
Barabara hiyo inapitisha malori kwenda Kenya, Uganda, Burundi, Rwanda, Mwanza na inaunganisha uwanja wa ndege wa Kilimanjaro international airport.
Ni aibu tena CCM haioni aibu iliyopo.