TANROAD Songea vipi?

TANROAD Songea vipi?

itakuwa labda watu wameanza kazi hata mimi niliomba ya cashier lakini mbaka leo kimya

hapana ht interview hawajaita na chini ya kapet meneja ndio kaitwa wizaran kwa utaratibu wa kuwasilisha budget means hadi ipitishwe ndio wataita interview na michakato mingne itaendelea. inawezekana ikawa mpaka mwisho wa bunge la budget.
 
hapana ht interview hawajaita na chini ya kapet meneja ndio kaitwa wizaran kwa utaratibu wa kuwasilisha budget means hadi ipitishwe ndio wataita interview na michakato mingne itaendelea. inawezekana ikawa mpaka mwisho wa bunge la budget.

dah sasa kaz itangazwe february, interview august hii ni balaa, sasa mbona nafasi za security guard wameita interview, wao burget yao ipo..wanazingua bhana wenzao wa tanroads tanga walitangaza kazi juz tu hapa baada ya hawa wa songea ila wao wameshaitaa,
 
Wenye tetesi kinaendelea nin huko Songea tanroads, miez mitatu sasa tunasubili kimya
 
Back
Top Bottom