TANROAD Songea vipi?

TANROAD Songea vipi?

malifimbo

Senior Member
Joined
Apr 2, 2013
Posts
129
Reaction score
32
Jamani mwenye taarifa na nafasi walizotoa TANROAD Songea shift- in charge.

Naomba tupeane taarifa
 
mimi niliomba ya cashier lakini naona kimya itakuwa wameshawaweka watu wao kimya kimya walitangaza ushahidi
 
Hbr wadau!
Kuna nafasi za kazi zilitangazwa na TANROADs Songea mwaka huu, muda mref umepita naona kimya.
Mwenye taarifa kama walishatoa majina ya waliofanikiwa kuitwa interview naoma anijuze.
Ahsanteni.
 
Jamani mwenye taarifa na nafasi walizotoa TANROAD Songea shift- in charge.

Naomba tupeane taarifa

Mimi mwenyewe niliomba lakin naona kimya. Ila tuwe na subra labda watatoa majina
 
Hbr wadau!
Kuna nafasi za kazi zilitangazwa na TANROADs Songea mwaka huu, muda mref umepita naona kimya.
Mwenye taarifa kama walishatoa majina ya waliofanikiwa kuitwa interview naoma anijuze.
Ahsanteni.

bado hawajaita interview mkuu mimi mwenyewe niko hapa songea, niliomba weighbridge operator naendelea kusubili
 
Hahaha nendeni mkanunue Ufuta Namtumbo then mkauze Sodeko mtachelewa sana mkisubiri ajira

mkuu hii biashara vipi inalipa, niko songea hapa maisha magumu nataka nibadili uelekeo, nataka unielekeze kilo moja inauzwa bei gani kijijini na hapa sodeko ni bei gani.
 
Subilini kesho ntakwenda ofisini kwao kuwauliza, maana mimi hata barua ya maombi nilipeleka kwa mkono
 
Wametoa majina ya security guards tuu,wengine tuendelee kusubili, wameanza na walinzi kwan wao watatangulia kuanza kaz kabla ya ufunguz wa mizani.
 
Naombeni mwenye updates za TANROADS Songea, kwa Shift in Charge na Weighbridge Operators, ni muda mrefu sasa ila wako kimya
 
itakuwa labda watu wameanza kazi hata mimi niliomba ya cashier lakini mbaka leo kimya
 
Back
Top Bottom