TANROAD barabara ya Bagamoyo Mbezi Tegeta kwanini mnafyeka majani ya kando ya barabara kwa greda na kuziba mitaro?

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,284
21,403
Sijui kama hili limekaa kitaalam sana au kipigaji!

Kwa taarifa za Mamlaka ya hali ya hewa! Baada ya wiki mbili kutakuwa na mvua! Ukipita barabara ya bagamoyo kuanzia eneo la mbezi kuelekea tegeta! Yale majani ya pembezoni mwa barabara wanayakwangua na greda! Kama tunavyojua greda husukuma majani na udogo wote unaenda kujaa kwenye mitaro!

Swali, huu utaratibu wa kufyeka majani na greda ni wa kitaalam? Au tunatengeza kazi nyingine baadae ya kuja kuzibua mitaro?

Naomba Wataalam wa barabara mtuelimishe hilo kabla mitaro hijajaa maji!
 
Wala hujui unachokiongea au umekurupuka kuandika, wakati mwingine watu hatujui tunataka nini,
Anyway hayo majani yataondolewa uwe na amani
 
Wala hujui unachokiongea au umekurupuka kuandika, wakati mwingine watu hatujui tunataka nini,
Anyway hayo majani yataondolewa uwe na amani
Hujui hata unaongea nini! Mitaro ilikuwa misafi wamrkwangua dongo limeenda mtaroni halafu unasema kazi smart!.
Mvua ikinyesha walimokwangua kutamomonyoka kiasi hata cha kuathili kingo za barabara ! Halafu unaleta work smart
 
Sijui kama hili limekaa kitaalam sana au kipigaji!
Kwa taarifa za Mamlaka ya hali ya hewa! Baada ya wiki mbili kutakuwa na mvua!

Ukipita barabara ya bagamoyo kuanzia eneo la mbezi kuelekea tegeta!
Yale majani ya pembezoni mwa barabara wanayakwangua na greda!
Kama tunavyojua greda husukuma majani na udogo wote unaenda kujaa kwenye mitaro!

Swali, huu utaratibu wa kufyeka majani na greda ni wa kitaalam? au tunatengeza kazi nyingine baadae ya kuja kuzibua mitaro?

Naomba Wataalam wa barabara mtuelimishe hilo kabla mitaro hijajaa maji!
Tz hii.
 
Back
Top Bottom