Mwanadiplomasia Mahiri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 672
- 2,283
Baadhi ya wateuliwa wa nafasi ya Ubunge leo kupitia ccm ni wana familia wa familia maarufu hapa Tanzania.
Ni kama wanasubiria muda waende na madereva wao wa VX LC 300 kwenda kuapishwa Dodoma.
Chama kina wenyewe na wenyewe hawana kelele huku mitandaoni.
DJ naomba kibao cha “Kalayi boeing” nisindikize kinywaji changu taratibu!
Sisi wengine tuendelee kutafuta ajira tamisemi
Ni kama wanasubiria muda waende na madereva wao wa VX LC 300 kwenda kuapishwa Dodoma.
Chama kina wenyewe na wenyewe hawana kelele huku mitandaoni.
DJ naomba kibao cha “Kalayi boeing” nisindikize kinywaji changu taratibu!
Sisi wengine tuendelee kutafuta ajira tamisemi