Tangulia na dereva tukutane Dodoma

Tangulia na dereva tukutane Dodoma

Mwanadiplomasia Mahiri

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2019
Posts
672
Reaction score
2,283
Baadhi ya wateuliwa wa nafasi ya Ubunge leo kupitia ccm ni wana familia wa familia maarufu hapa Tanzania.

Ni kama wanasubiria muda waende na madereva wao wa VX LC 300 kwenda kuapishwa Dodoma.

Chama kina wenyewe na wenyewe hawana kelele huku mitandaoni.

DJ naomba kibao cha “Kalayi boeing” nisindikize kinywaji changu taratibu!

Sisi wengine tuendelee kutafuta ajira tamisemi
IMG_7733.jpeg
IMG_7732.jpeg
IMG_7731.jpeg
IMG_7735.jpeg
IMG_7734.jpeg
IMG_7736.jpeg
IMG_7728.jpeg
 
Baadhi ya wateuliwa wa nafasi ya Ubunge leo kupitia ccm ni wana familia wa familia maarufu hapa Tanzania.

Ni kama wanasubiria muda waende na madereva wao wa VX LC 300 kwenda kuapishwa Dodoma.

Chama kina wenyewe na wenyewe hawana kelele huku mitandaoni.

DJ naomba kibao cha “Kalayi boeing” nisindikize kinywaji changu taratibu!

Sisi wengine tuendelee kutafuta ajira tamisemi
View attachment 3423635View attachment 3423636View attachment 3423638View attachment 3423640View attachment 3423641View attachment 3423644View attachment 3423649
Dah, hadi uzuni aisee ...anyway,nisije kumkufuru Mungu wangu bure lakini...
 
Unategemea nn wakati upinzani wamejaa matapeli kama DJ na mzito kabwela
 
Watanzania wote ni wanachama wa Ccm.

Mwenye povu akafulie chupi zake.
 
Back
Top Bottom