Tangulia na dereva tukutane Dodoma

Tangulia na dereva tukutane Dodoma

Baadhi ya wateuliwa wa nafasi ya Ubunge leo kupitia ccm ni wana familia wa familia maarufu hapa Tanzania.

Ni kama wanasubiria muda waende na madereva wao wa VX LC 300 kwenda kuapishwa Dodoma.

Chama kina wenyewe na wenyewe hawana kelele huku mitandaoni.

DJ naomba kibao cha “Kalayi boeing” nisindikize kinywaji changu taratibu!

Sisi wengine tuendelee kutafuta ajira tamisemi
View attachment 3423635View attachment 3423636View attachment 3423638View attachment 3423640View attachment 3423641View attachment 3423644View attachment 3423649
Hii Ole Pinda imekujaje?
Ngorongoro na Pinda wapi na wapi?
 
Naomba ufafanuzi hapo kwa jimbo la ngorongoro
Huyo ole pinda huko umasaini ilikuaje kuaje kutoka ufipani hadi umasaini?
 
Back
Top Bottom