remest1
Senior Member
- Apr 3, 2014
- 183
- 95
natangia mwenda zake ameondoka hakuna kampeni za nyung sio kwa viongozi wenye mamlaka hata waimba mapambio wa kipindi hicho saiz wakipigia kampeni njia za kisasaHabari JF,
Itakumbukwa siku za mwishoni za kuishi za mpendwa wetu, shujaa wa Afrika na mzee wa kuacha alama (legacy) katika kila alilokuwa anafanya hapa nchini watu wengi sana waliibuka kumpinga vikali juu ya uwepo wa second version ya covid 19 hapa nchini na duniani kote
Tanzia nyingi ziliripotiwa kila uchwao, hali hii ilianza kumshake hayati lakini kwa ushujaa wake alisimama imara, akapinga wazi uwepo wa hali mbaya ya uwepo wa athari za corona japo alikiri kuwa ipo
Tangu hayati magufuli kufariki mwezi mmoja sasa hakuna kelele tena za tanzia wala tishio dhidi ya ugonjwa huu, wanaharakati wa mitandaoni nao kimya, wapinzani waliojifanya kuwapenda watanzania kupita kiasi nao ni vivyohivyo wameufyata
Je, kelele zile kwa mheshimiwa hayati magufuli kuhusu corona zilikuwa ni mbinu za kumdhoofisha rais wetu dhidi ya covid 19?
Nini kimebadilisha hali ile ilhali nchi haijachukua hatua yoyote na zile taarifa za tanzia hakuna tena
nini kimebarika sasa hatusikii kujaa kwa wagonjwa wa covid 19 hospitalini?
Nini kimebadilika sasa Dodoma haisikiki tena kwamba ndio ilikuwa na maambuzi zaidi ya corona?