mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 22,477
- 21,025
Huyu dada ni mzuri kiasi ,kuna kitu nilikipenda kutoka kwake hadi nikawa na imagine big yaani daah she deserves to be my mama yoyo ,nikawa nam treat different na perception zangu zilikua perfect sana kwake ,hata maongezi yalikua yale ya ki gentleman a lil bit
Kama kawaida ya hawa wenzetu akaanza kunusa mnuso wa chatu kwa nyoka si akaharibu(she knew jamaa ananizimia)...unajua alifanyaje ooh naomba hela kama 300k hivi ,kichwa kikafanya paaap mbona mapema hivi?sikatai nu jukumu letu kuwa maintain nyie ,tumezaliwa tunalijua hilo ....aaah kumbe huyu ndio ile design kama hawa tunaowajua wa ku hit&run so anajenga mazingira ya "ku exchange mapenzi na pesa mapema " nilipatwa na kichefu chefu hadi leo nimekata maguu
Ama kweli ukitaka kutukimbiza tuombe tu hela ,tena usawa huu!!
Implication zake msishangae na nyie age inasonga tu
mwekundu is back MMU
Kama kawaida ya hawa wenzetu akaanza kunusa mnuso wa chatu kwa nyoka si akaharibu(she knew jamaa ananizimia)...unajua alifanyaje ooh naomba hela kama 300k hivi ,kichwa kikafanya paaap mbona mapema hivi?sikatai nu jukumu letu kuwa maintain nyie ,tumezaliwa tunalijua hilo ....aaah kumbe huyu ndio ile design kama hawa tunaowajua wa ku hit&run so anajenga mazingira ya "ku exchange mapenzi na pesa mapema " nilipatwa na kichefu chefu hadi leo nimekata maguu
Ama kweli ukitaka kutukimbiza tuombe tu hela ,tena usawa huu!!
Implication zake msishangae na nyie age inasonga tu
mwekundu is back MMU

