Kaka kwanini usitafute hata kazi ya kubeba zege? Mi nilipo disco chuo tu nilijichanganya mji wa serikali Dodoma, kujenga majengo Yale kama kibarua asubuhi nipo pale navizia japo Kuna siku unaingia Kuna siku unakosa, unarudi geto, badae nikajiingiza kwenye ujasiriamali, huku nikifanya kazi hotelini kama mhudumu, nikahamia kwenye ulinzi wa usiku ili mchana nijiajiri, nika hustle hivohivo mdogomdogo, nikaanza kuhama mikoa mpaka sasa nataka kuingia kwenye MZIKI sijakurupuka tu kuingia kwenye MZIKI no, nimeanzia mbali mpaka kufika Leo naingia ngazi mpya mziki kwangu NAIONA kama ngazi mpya mana naenda kutumia kipaji changu nilicho pewa na MUNGU mambo mengine anajua yeye MUNGU kama tawin or lose lakini kumove on muhimu kaka hivo pambana sana 2012 ina mana umri wako si mdogo we ni mtu mzima upo kwenye thirty something kaka, ukitinga 40 bila inshu ya kueleweka dah MUNGU atusimamie, lakini mpaka Leo nataka nianze na label yangu ya mziki nikiangalia niliko Toka just a matter of thanks god