Slave
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 5,313
- 2,651
kah, mmeo nampenda, sijui sijui nitampataje..!!!!! Kakuganda ka'nini hata umwambieje wala hafurukuti
eti .??????????!!!!!!???????????
kah, mmeo nampenda, sijui sijui nitampataje..!!!!! Kakuganda ka'nini hata umwambieje wala hafurukuti
NYAMA ??! umesema NYAMA shem? #iUSE
pacha itabidi tumtafutie ndugu yetu ladyfurahia hiyo gendaugaluke amlishe Mentor
poa, basi ngoja nikutengenezee gendaugaluke, sawa shem?
hapo umenena pacha
ila anaejua hiyo gendaugaluke ni hasimu
wako Evelyn Salt,atatuonyesha inapopatikana kweli?
ntengenezee nyama...!!!
mtafuteni tu, ila niliona siku moja alikuwa anaiandaa kama sikosei kuna jamii ya panzi ambao huwa kila anapo ruka badala ya kwenda mbele huji kuta kageukia aliko toka. ni panzi fulani hivii wa kijani na ugoro
nakutaka ubaya au maneno useme wewe afu mie nikutake aka baaabu wee!!! mie nakomaaa na bauntha wangu tu
hapo umenena pacha
ila anaejua hiyo gendaugaluke ni hasimu
wako Evelyn Salt,atatuonyesha inapopatikana kweli?
mtafuteni tu, ila niliona siku moja alikuwa anaiandaa kama sikosei kuna jamii ya panzi ambao huwa kila anapo ruka badala ya kwenda mbele huji kuta kageukia aliko toka. ni panzi fulani hivii wa kijani na ugoro
nani kakibia moyo tena !! kamata miji meeen!!Hivi bado haujarudisha moyo tu?
hao hao yaani usiombe don't try jaribu kwa lisk yako mwenyewehao panzi wananukaga hao, si ni wale ma balanguru?
nakutaka ubaya au maneno useme wewe afu mie nikutake aka baaabu wee!!! mie nakomaaa na bauntha wangu tu
ni shemeji yake tu hamna shida
ukome nawewe kunipiga mie sio ngoma!!
pacha njoo ujiskilizie mwenyewe
tuanze kuingia mashambani kumtafuta panzi mweee!!