Utakua unanionra huruma sana Ushauri wako .?
kah, mmeo naye mgumu, sijui umemlisha gundi...!!!!! Kakuganda ka'nini hata umwambieje wala hafurukuti
acahana na hayo endelea kunipa datayaani mi nakupa taarifa za mkeo unaniona mi 'lafa' amakweli we ni slave!!
acahana na hayo endelea kunipa data
umetumwa?????????
kwani yeye amekuwa jini atumwe
Huyo pachayo alinilingia zamani mpaka nimelishwa gendaugaluke ndo ananifukuzia mwambie amechelewa meen..
lazima awe kimya Slave anamuogopa sana Evelyn Salt sijui anadundagwa!!!!!!! Mi simuelewagi ujue ye ni mtu wa kuzubaa muda wote hadi huruma
Mambo ya truu lavu hayooooo
amelishwa gendaugaluke mwenzio
kanitonya mwenyewe hahaaaa!!
akupe data wakati unapokom=nywa huku wajiona kweli wewe umeshindikana
pacha itabidi tumtafutie ndugu yetu ladyfurahia hiyo gendaugaluke amlishe Mentor
acahana na hayo endelea kunipa data
ndo manini hayo...angalieni msijenipoteza mazima!!!