TANGAZO: Naachana rasmi na Mentor

TANGAZO: Naachana rasmi na Mentor

cousin huyu mume usimuache tudeal na yule kisebengo mvunja ndoa za watu
lazima tuunde mshikamano ili tumuadabishe Mentor haiwezekani atelekeze familia hivihivi.... Passion Lady ( @dismynder 1) CHAMInglady na measkron njooni tuisaidie hii ndoa isivunjike

Yaani Lady doctor umenena vyema kabisaaaa.... huyu jamaa tunauwezo wa kumuadabisha... asituchezee kabisa... hakuna kujisuicude my dear ladyfurahia... relax and be happy
 
Last edited by a moderator:
Pole sana my dia hata me nipo kwenye wakati mgumu kama huo ni juzi tu tangu niachane na zubedayo_mchuzi. I do understand your pain
hujaachana na mimi sema umeniacha...acha kunisingia uliamua mwenyewe mimi sikuamua....nikisikia tena kauli hii ntakufungulia mashtaka....
 
Last edited by a moderator:
thubutu umfungulie mashtaka gani wewe au unataka tukupeleke kwa mstahiki meya wa jiji hili la cc?
hujaachana na mimi sema umeniacha...acha kunisingia uliamua mwenyewe mimi sikuamua....nikisikia tena kauli hii ntakufungulia mashtaka....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom