Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
Last edited by a moderator:
cousin huyu mume usimuache tudeal na yule kisebengo mvunja ndoa za watu
lazima tuunde mshikamano ili tumuadabishe Mentor haiwezekani atelekeze familia hivihivi.... Passion Lady ( @dismynder 1) CHAMInglady na measkron njooni tuisaidie hii ndoa isivunjike
Huwezi kuniacha Slave
utaendelea kuwa nami na kuniganda kama mkono wa obama kwenye kiuno cha michelle.........
Cc: Lady doctor
natambua mtanigombanisha nae...........
Yaani Lady doctor umenena vyema kabisaaaa.... huyu jamaa tunauwezo wa kumuadabisha... asituchezee kabisa... hakuna kujisuicude my dear ladyfurahia... relax and be happy
Slave na Lady doctor siwasomi mjue!??
hujaachana na mimi sema umeniacha...acha kunisingia uliamua mwenyewe mimi sikuamua....nikisikia tena kauli hii ntakufungulia mashtaka....Pole sana my dia hata me nipo kwenye wakati mgumu kama huo ni juzi tu tangu niachane na zubedayo_mchuzi. I do understand your pain
Slave na Lady doctor siwasomi mjue!??
shem utanisoma tu hata kimoyomoyo
Moyoni nshakusoma siku nyingi dadako tu ndo anaeka kauzibe..au una maana gani!??:glasses-nerdy::madgrin::becky:
hujaachana na mimi sema umeniacha...acha kunisingia uliamua mwenyewe mimi sikuamua....nikisikia tena kauli hii ntakufungulia mashtaka....
Moyoni nshakusoma siku nyingi dadako tu ndo anaeka kauzibe..au una maana gani!??:glasses-nerdy::madgrin::becky: