Passion Lady
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 8,694
- 4,646
hahahaaa!!pacha na wewe
mchonganishi lol!!ataachika bure mwenzio!
hahahaaa!!pacha na wewe
mchonganishi lol!!ataachika bure mwenzio!
​ataachika yeye shauri yake!!pacha huyu ndie hasidi kiwembe wetu anayetaka ndoa ya shemeji yetu ivunjike
kwa usalama wake aachane na mentor
yeeetooooo!!ina maana shem anamnaniliiii?
ndiyo maana yake!!!!
yaani leo umeingia cha kiume sijui utachutama wapi!!
Huyo pachayo alinilingia zamani mpaka nimelishwa gendaugaluke ndo ananifukuzia mwambie amechelewa meen..hahahaaa!!pacha na wewemchonganishi lol!!ataachika bure mwenzio!
Huyo pachayo alinilingia zamani mpaka nimelishwa gendaugaluke ndo ananifukuzia mwambie amechelewa meen..
tatunge njia mbadala ya kuwakomesha
wasiendelee,halavu Slave naona yupo kimya tu!!
lazima awe kimya Slave anamuogopa sana Evelyn Salt sijui anadundagwa!!!!!!! Mi simuelewagi ujue ye ni mtu wa kuzubaa muda wote hadi huruma
Alieedit hapo nani??????
Mwanaume ananipenda huyooooo
hahahaaa sasa asipokupenda wewe ataishije mujini wakati we ndiyo sugar mami wake!
Nnachompendea baby wangu hasikilizagi maneno ya watu...
kweli alisikiliza vema ushauri mzuri wa kuishi kwenye ndoa yake
nakupenda Slave
Utakua unanionra huruma sana Ushauri wako .?kah, mmeo naye mgumu, sijui umemlisha gundi...!!!!! Kakuganda ka'nini hata umwambieje wala hafurukuti