Mungu Muumba wa Mbingu na Nchi ambaye alimuumba Wibert Matoka, hatimaye imempendeza amemrudisha kwake.
Bwana alitoa na Bwana ametwaa Jina la Bwana libarikiwe (Ayubu 1:21). Amen
Poleni sana kwa msiba huu ndugu wote wahusika.
Mungu Mwenyezi, Muumba wa Mbingu na Nchi awape uvumilivu na kutukumbusha wote kuwa hapa duniani ni mahali pa kupita.