William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Wakuu wote hapa na ndugu zangu, kwa masikitiko makubwa sana ninaomba kuwafahamisha up-todates, za mgonjwa ndugu yetu Sister Pendo Magaluda ambaye amekuwa akisumbuliwa sana na ugonjwa wa Breast Cancer, habari ambazo ziliwahi kutolewa huko nyuma kwenye chombo cha habari cha Brother Michuzi.
- Since then, ndugu yetu mpendwa Sister Pendo, amekuwa akipata nafuu na kuzidiwa pia, lakini recently hali yake imekua sio nzuri sana kwa wale mnaofahamu vizuri madhara ya ugonjwa huu hatari ninaamini kuwa mnaelewa ninachokisema. Baada ya kutibiwa sana between USA, Tanzania, South Africa, na back tena to New York City, USA, Pendo alihamishiwa katika Hospitali ya kitongoji cha Rochester, yaani Up-Sate New York umbali wa maili 350 kutoka NYC.
- Ninamfahamu Sister Pendo, na mumewe Abel na watoto wao wadogo watatu wa kiume, mkubwa mwenye umri wa miaka 11, anayemfuatia miaka 9 na mdogo mwenye miaka 4 na wote wa kiume, na hii familia nzima wako pamoja huko Hospitali Rochester. Betweeen kumhudumia mkewe na watoto katika hiki kipindi kigumu sana kifamilia, ndugu yangu Abel ilibidi aache kazi na ku-dedicate muda wake wote kumuuguza mkewe, ninamuombea nguvu zaidi na busara za Mwenyezi Mungu zimtangulie mbele ili asikate tamaa.
- Sasa ndugu zangu kama kawaida yetu bina-adam, kusaidiana kwa hali na mali na hasa katika kipindi cha matatizo kama hiki kwa hawa ndugu zetu, ambao kwa kweli bado ni vijana sana in their 30s, ambao walikuwa huko US kwa ajili ya masomo na matibabu pia. Hivi ninapoandika nipo njiani nikielekea huko Rochester kwenda kuwaona na kutathmini kwa karibu hali halisi, ninawaomba tena ndugu zangu kwamba kwa yoyote mwenye kujaaliwa na Mwenyezi Mungu kuwa na uwezo wa msaada wa aina yoyote ile, kuwasaidia hawa ndugu zetu, unaweza kutuma kwenye:-
-Checking Account # 526-410-230, benki ya HSBC, kwa kutumia majina ya Pendo au Abel Magaluda
- Kwa yoyote mwenye maswali zaidi, tafadhali tuwasiliane kwenye PM, na pia kwa wale walioko karibu na huo mji wa Rochester, ndugu zetu wako kwenye Hospital ya Rochester University unaweza kuwapata kwenye namba ya simu 1-585-414-1481, kutokana na pilika pilika walizonazo, sio rahisi kuwapata kwa mara moja kwa hiyo tafadhali jaribu kuacha ujumbe ikibidi na watakujibu baadaye.
Ninaomba kuchukua fursa hii kuwashukuru wale wote ambao wamekua wakiwasaidia ndugu zetu kwa muda sasa, na pia kwa wale wote walionipatia misaada mbali mbali mzito ya kuwafikishia huko ninakokwenda kuwaona, na ninategemea kuwepo nao huko kwa siku mbili zijazo, Mungu awabariki na awazidishie zaidi.
Samahani sana wana-JF, na hasa Mods kwa kuiweka hapa hii ni kwa sababu tu ya udharura wa hali halisi, lakini mnaweza kuipeleka inapotakiwa ikibidi.
FMES.
- Since then, ndugu yetu mpendwa Sister Pendo, amekuwa akipata nafuu na kuzidiwa pia, lakini recently hali yake imekua sio nzuri sana kwa wale mnaofahamu vizuri madhara ya ugonjwa huu hatari ninaamini kuwa mnaelewa ninachokisema. Baada ya kutibiwa sana between USA, Tanzania, South Africa, na back tena to New York City, USA, Pendo alihamishiwa katika Hospitali ya kitongoji cha Rochester, yaani Up-Sate New York umbali wa maili 350 kutoka NYC.
- Ninamfahamu Sister Pendo, na mumewe Abel na watoto wao wadogo watatu wa kiume, mkubwa mwenye umri wa miaka 11, anayemfuatia miaka 9 na mdogo mwenye miaka 4 na wote wa kiume, na hii familia nzima wako pamoja huko Hospitali Rochester. Betweeen kumhudumia mkewe na watoto katika hiki kipindi kigumu sana kifamilia, ndugu yangu Abel ilibidi aache kazi na ku-dedicate muda wake wote kumuuguza mkewe, ninamuombea nguvu zaidi na busara za Mwenyezi Mungu zimtangulie mbele ili asikate tamaa.
- Sasa ndugu zangu kama kawaida yetu bina-adam, kusaidiana kwa hali na mali na hasa katika kipindi cha matatizo kama hiki kwa hawa ndugu zetu, ambao kwa kweli bado ni vijana sana in their 30s, ambao walikuwa huko US kwa ajili ya masomo na matibabu pia. Hivi ninapoandika nipo njiani nikielekea huko Rochester kwenda kuwaona na kutathmini kwa karibu hali halisi, ninawaomba tena ndugu zangu kwamba kwa yoyote mwenye kujaaliwa na Mwenyezi Mungu kuwa na uwezo wa msaada wa aina yoyote ile, kuwasaidia hawa ndugu zetu, unaweza kutuma kwenye:-
-Checking Account # 526-410-230, benki ya HSBC, kwa kutumia majina ya Pendo au Abel Magaluda
- Kwa yoyote mwenye maswali zaidi, tafadhali tuwasiliane kwenye PM, na pia kwa wale walioko karibu na huo mji wa Rochester, ndugu zetu wako kwenye Hospital ya Rochester University unaweza kuwapata kwenye namba ya simu 1-585-414-1481, kutokana na pilika pilika walizonazo, sio rahisi kuwapata kwa mara moja kwa hiyo tafadhali jaribu kuacha ujumbe ikibidi na watakujibu baadaye.
Ninaomba kuchukua fursa hii kuwashukuru wale wote ambao wamekua wakiwasaidia ndugu zetu kwa muda sasa, na pia kwa wale wote walionipatia misaada mbali mbali mzito ya kuwafikishia huko ninakokwenda kuwaona, na ninategemea kuwepo nao huko kwa siku mbili zijazo, Mungu awabariki na awazidishie zaidi.
Samahani sana wana-JF, na hasa Mods kwa kuiweka hapa hii ni kwa sababu tu ya udharura wa hali halisi, lakini mnaweza kuipeleka inapotakiwa ikibidi.
FMES.