Watu wanaishambulia itakuaKua mpole website yao itulie naona haifunguki kwa sasa.
Watu wanaishambulia itakuaKua mpole website yao itulie naona haifunguki kwa sasa.
Jina la poti lilianzia kwa polisi ndio likasambaa na kwa majeshi mengine, wanajeshi wa jwtz ni wajeda, majina mengine ni njagu, mwera, ndata nk ikiwa na maana ya askari wa jeshi lolote lileHili poti nilijua ni wanajeshi wa Jwtz peke yao.
Kama una fani yoyote ile siyo tu engineer basi jwtz ndio pazuri zaidi, ndio jeshi linaloconsider elimu ya mtu kuliko majeshi mengine yote ya bongo, upandaji wa vyeo ni mzuri zaidi kuliko huko kwingineNaomba kujuzwa
Hivi kwa mwenye fani(ex.engineer)ikitokea achague kati ya kwenda Jwtz/jeshi la polisi,which is better kwake?
Omba tena utapata this time..Wadau tumeona jeshi la polisi limetangaza nafasi za ajira sasa wadau kma mm nimeomba sana huwa sipati naombeeni msaada kma mtu anaweza nisaidia nimeomba kma mara mbili nimekosa saada wadau
Kwenye mfumo wa maombi hakuna sehemu ya kujaza hiyo form mkuu kwahyo achana nayo kwa saivi, ni Nida, barua ya maombi na vyeti vyako vya taaluma ndo unatumia kuombaMwenye barua ya police ya uthibitisho wa doctor atume basi
Thanks broKama huna koneksheni tuliza pumbu hizo kaka haya mambo hayana ngekewa.
NdioCheti cha jkt lazma.
Jau wewe🤣🤣🤣Kama huna koneksheni tuliza pumbu hizo kaka haya mambo hayana ngekewa.
Wameandika wapi?🥴Ndio