Tanga Pazuri Sana Sema Sijui kwa Nini Pako Vile

Salaam wote:

Tanga ni moja ya mikoa mizuri sana kuliko hata Arusha na Kilimanjaro iliyopo jirani na Tanga yenyewe. Nazungumzia hali ya hewa na mazingira masafi, Tanga wapenda usafi, nikisema Pazuri naamanisha Mazingira.

Watu wa kutokea Tanga ni wakarimu na wastaarabu kwani wengi wao ni waislamu na wanastaha sana.

Uzuri wa watu wa Tanga wanaishi vizuri sana amani tele vitendo vya mauaji ni nadra sana hii ni kwa jamii ya walio pale mjini, vile vile hata wa vijijini wapo vizuri kuliko hata mjini, hivyo huishi vizuri.

Watu wa Tanga ni wastaarabu na wameridhika, licha ya yote wengi wanaotoka Tanga kwenda dar es salaam wakirudi makwao Tanga hubadilika hivyo kuchukiza wenzao walio salia Tanga huja na tabia za ajabu ajabu kama wizi, ushoga, na ulevi wa pombe na madawa ya kulevya.

Tanga vyombo vya usafiri huendeshwa kistaarabu tofauti na mikoa mingine, ajali huwa ni nadra pia, madereva wa tanga wako makini.

Watu wa Tanga wanaotii dini sio watu wakupenda dhuluma kabisa.

Tanga pia kuna wakiristo wastaarabu sana na wapole sana, nilifurahi kusali kanisa la chumba geni pale Tanga, na kule sahare pia parokia ya Mashahidi wa Uganda kama sikukosea.

Mapishi ya Tanga hayaja wahi kuboa abadani, msosi wali nazi, wali nazi kweli, msosi samaki nazi samaki nazi kweli....

Kwenye swala la kuoa Tanga wacha kabisa watoto wamejaaliwa mashallah! yaani wafungishwa ndoa ya mkeka unapewa mwana kwa masharti ya kuishi naye kimaadili ya dini.

Mpaka sasa Tanzania nzima hakuna sehemu penye wanawake walio wazidi wanawake wa Tanga. Hii research nina uhakika nayo 100%% wanawake wa kitanga sifa ziende kwao, maua yao tuwape 😍😍😍🤩🤩

With All That bado Tanga pako na kasumba hizi ambazo zinafanya pawe pachungu kama shubiri.

1. Maendeleo Tanga hakuna. Ushirikishwaji wa chachu za kuindeleza tanga hakuna wadau hata wa nje ya tanga.

2. Watu wa Tanga wana kauvivu fulani cha kutokuwajibika kupambana na changamoto ndogo ndogo, mfano sio watu wa kupenda kufanya vitu vikubwa kama ujenzi, au kuwa na utegemezi yaani familia kubwa yakaa pamoja na mtegemezi ni mmoja au wawili kwa watu 8 au 10 ambao ni watu wazima.

3. Tanga ni wabinafsi kiasi kwa wageni yaani hupenda kujitenga hivyo hakuna mchanganyiko wa biashara wala muingiliano wa watu.

4. Tanga kwenye biashara ni 0% hawajui kuuza wala hawana bidii na mteja ni wakarimu kwa wenyewe lakini kwa mteja si wakarimu.

Nimetoka tanga 2017 pakiwa pako na hali hiyo ninayo sema ila kwa sasa sijui.
Hivi ni kwan nini Tanga pazuri vile ila pako na dosari ile.....????

Tanga wanaanza weekend ijumaa....alafu kuamka kwa mishe mishe kitaa ni saa 5 asubuhi na kufunga maduka yao ni saa 10 jioni isipokuwa barabara ya 9 pale na 10 ndiyo kidogo kuna biashara.

Ukiwahi kuamka Tanga hukuti duka lilo wazi yaani saa mbili kamili asubuhi maduka yamefungwa 😁😁😁

Nilisahahu kuwa Tanga mjini hapo machizi ni wengi sana....lakini mapaka kama yote. Nyau nyingi.
Jamaa wewe una akili kubwa,

Ila wale tulisoma Cuba tushaelewa.
Lengo lako ni kuwachana makavu.
Hizo umeziita kasumba ndo ilikiwa main point,
watu wa Tanga ni wavivu wavivu hivi, halafu shule haipo
Imani za kishirikina nazo ndo umewafikisha.

Naafikiana nawewe kabisa kwenye hiyo list yako ya kasumba
 
Salaam wote:

Tanga ni moja ya mikoa mizuri sana kuliko hata Arusha na Kilimanjaro iliyopo jirani na Tanga yenyewe. Nazungumzia hali ya hewa na mazingira masafi, Tanga wapenda usafi, nikisema Pazuri naamanisha Mazingira.

Watu wa kutokea Tanga ni wakarimu na wastaarabu kwani wengi wao ni waislamu na wanastaha sana.

Uzuri wa watu wa Tanga wanaishi vizuri sana amani tele vitendo vya mauaji ni nadra sana hii ni kwa jamii ya walio pale mjini, vile vile hata wa vijijini wapo vizuri kuliko hata mjini, hivyo huishi vizuri.

Watu wa Tanga ni wastaarabu na wameridhika, licha ya yote wengi wanaotoka Tanga kwenda dar es salaam wakirudi makwao Tanga hubadilika hivyo kuchukiza wenzao walio salia Tanga huja na tabia za ajabu ajabu kama wizi, ushoga, na ulevi wa pombe na madawa ya kulevya.

Tanga vyombo vya usafiri huendeshwa kistaarabu tofauti na mikoa mingine, ajali huwa ni nadra pia, madereva wa tanga wako makini.

Watu wa Tanga wanaotii dini sio watu wakupenda dhuluma kabisa.

Tanga pia kuna wakiristo wastaarabu sana na wapole sana, nilifurahi kusali kanisa la chumba geni pale Tanga, na kule sahare pia parokia ya Mashahidi wa Uganda kama sikukosea.

Mapishi ya Tanga hayaja wahi kuboa abadani, msosi wali nazi, wali nazi kweli, msosi samaki nazi samaki nazi kweli....

Kwenye swala la kuoa Tanga wacha kabisa watoto wamejaaliwa mashallah! yaani wafungishwa ndoa ya mkeka unapewa mwana kwa masharti ya kuishi naye kimaadili ya dini.

Mpaka sasa Tanzania nzima hakuna sehemu penye wanawake walio wazidi wanawake wa Tanga. Hii research nina uhakika nayo 100%% wanawake wa kitanga sifa ziende kwao, maua yao tuwape 😍😍😍🤩🤩

With All That bado Tanga pako na kasumba hizi ambazo zinafanya pawe pachungu kama shubiri.

1. Maendeleo Tanga hakuna. Ushirikishwaji wa chachu za kuindeleza tanga hakuna wadau hata wa nje ya tanga.

2. Watu wa Tanga wana kauvivu fulani cha kutokuwajibika kupambana na changamoto ndogo ndogo, mfano sio watu wa kupenda kufanya vitu vikubwa kama ujenzi, au kuwa na utegemezi yaani familia kubwa yakaa pamoja na mtegemezi ni mmoja au wawili kwa watu 8 au 10 ambao ni watu wazima.

3. Tanga ni wabinafsi kiasi kwa wageni yaani hupenda kujitenga hivyo hakuna mchanganyiko wa biashara wala muingiliano wa watu.

4. Tanga kwenye biashara ni 0% hawajui kuuza wala hawana bidii na mteja ni wakarimu kwa wenyewe lakini kwa mteja si wakarimu.

Nimetoka tanga 2017 pakiwa pako na hali hiyo ninayo sema ila kwa sasa sijui.
Hivi ni kwan nini Tanga pazuri vile ila pako na dosari ile.....????

Tanga wanaanza weekend ijumaa....alafu kuamka kwa mishe mishe kitaa ni saa 5 asubuhi na kufunga maduka yao ni saa 10 jioni isipokuwa barabara ya 9 pale na 10 ndiyo kidogo kuna biashara.

Ukiwahi kuamka Tanga hukuti duka lilo wazi yaani saa mbili kamili asubuhi maduka yamefungwa 😁😁😁

Nilisahahu kuwa Tanga mjini hapo machizi ni wengi sana....lakini mapaka kama yote. Nyau nyingi.
Tanga Raha asikwambie mtu
 
Huwa najiuliza Kwanini sehemu nyingi za waswahili hawafungui maduka asubuhi Arusha saa 12 maduka ya mangi mtaani yamefunguliwa ila Kwa Tanga Dar na Zanzibar wanachelewa sana mtu anaewahi anafungua saa moja Tena hao wa saa Moja ni wachache
 
Huwa najiuliza Kwanini sehemu nyingi za waswahili hawafungui maduka asubuhi Arusha saa 12 maduka ya mangi mtaani yamefunguliwa ila Kwa Tanga Dar na Zanzibar wanachelewa sana mtu anaewahi anafungua saa moja Tena hao wa saa Moja ni wachache
Dar maduka yote ya mangi sasa kwanini hawafungui asubuhi?
 
Ni pazuri hali ya hewa. Kuhusu wanawake kuwa makini sana. Wana mapenzi mazuri ila hawakai kwenye ndoa. Pia ukienda kikazi ukapata demu ukijieleza akakujua ukitoka unamwacha ana mimba. Kama u aheshashimu watoto basi ndio wako tena. Yeye anaendelea kulea wewe unatunza. Akiukizwa, babake yuko Dar au Arusha na sasa Dosoma. Hawachelewi kwa hilo.
Kivipi mkuu, fafanua hapo kwenye hawakai kwenye ndoa hapo... maana Kuna jamaa angu ni mtu wa Tanga ila ameoa na kuacha huko huko kwao...
 
Juzi nilikuwa huko.

Pako vizuri.. ila nasikitika kusema Madem wazuri sikubahatika kuwaona.

Mademu wa Tanga lugha. Wana sauti nyororo na kile kiswahili chao mi nina fetish nacho. Sema kuna kitu nimeona, kwamba unaweza kuwa nae hata mara tatu lakini hawataki uwaangalie chini. Wanaficha wanataka uingize tu. Ukilszimisha kuona vita
 
Nimeishi tanga mwaka mmoja na nusu kwa minchi hali ya hewa tanga mbaya joto januari-december kwenye kuhudumia wateja hawana huduma nzuri watu si wachachariji
kuvaa hirizi na kwenda kwa mganga wa kienyeji ni kawaida
Maendeleo tanga ni ya kusuasua

Nakwambia niliipenda Tanga lakini life pale ni tight sana. Wenyeji wakawa wananishangaa, umetoka Dar unakuja hapa kufanya nini. Lakini watu wa pale ni watu wema sana
 
uliz
Salaam wote:

Tanga ni moja ya mikoa mizuri sana kuliko hata Arusha na Kilimanjaro iliyopo jirani na Tanga yenyewe. Nazungumzia hali ya hewa na mazingira masafi, Tanga wapenda usafi, nikisema Pazuri naamanisha Mazingira.

Watu wa kutokea Tanga ni wakarimu na wastaarabu kwani wengi wao ni waislamu na wanastaha sana.

Uzuri wa watu wa Tanga wanaishi vizuri sana amani tele vitendo vya mauaji ni nadra sana hii ni kwa jamii ya walio pale mjini, vile vile hata wa vijijini wapo vizuri kuliko hata mjini, hivyo huishi vizuri.

Watu wa Tanga ni wastaarabu na wameridhika, licha ya yote wengi wanaotoka Tanga kwenda dar es salaam wakirudi makwao Tanga hubadilika hivyo kuchukiza wenzao walio salia Tanga huja na tabia za ajabu ajabu kama wizi, ushoga, na ulevi wa pombe na madawa ya kulevya.

Tanga vyombo vya usafiri huendeshwa kistaarabu tofauti na mikoa mingine, ajali huwa ni nadra pia, madereva wa tanga wako makini.

Watu wa Tanga wanaotii dini sio watu wakupenda dhuluma kabisa.

Tanga pia kuna wakiristo wastaarabu sana na wapole sana, nilifurahi kusali kanisa la chumba geni pale Tanga, na kule sahare pia parokia ya Mashahidi wa Uganda kama sikukosea.

Mapishi ya Tanga hayaja wahi kuboa abadani, msosi wali nazi, wali nazi kweli, msosi samaki nazi samaki nazi kweli....

Kwenye swala la kuoa Tanga wacha kabisa watoto wamejaaliwa mashallah! yaani wafungishwa ndoa ya mkeka unapewa mwana kwa masharti ya kuishi naye kimaadili ya dini.

Mpaka sasa Tanzania nzima hakuna sehemu penye wanawake walio wazidi wanawake wa Tanga. Hii research nina uhakika nayo 100%% wanawake wa kitanga sifa ziende kwao, maua yao tuwape 😍😍😍🤩🤩

With All That bado Tanga pako na kasumba hizi ambazo zinafanya pawe pachungu kama shubiri.

1. Maendeleo Tanga hakuna. Ushirikishwaji wa chachu za kuindeleza tanga hakuna wadau hata wa nje ya tanga.

2. Watu wa Tanga wana kauvivu fulani cha kutokuwajibika kupambana na changamoto ndogo ndogo, mfano sio watu wa kupenda kufanya vitu vikubwa kama ujenzi, au kuwa na utegemezi yaani familia kubwa yakaa pamoja na mtegemezi ni mmoja au wawili kwa watu 8 au 10 ambao ni watu wazima.

3. Tanga ni wabinafsi kiasi kwa wageni yaani hupenda kujitenga hivyo hakuna mchanganyiko wa biashara wala muingiliano wa watu.

4. Tanga kwenye biashara ni 0% hawajui kuuza wala hawana bidii na mteja ni wakarimu kwa wenyewe lakini kwa mteja si wakarimu.

Nimetoka tanga 2017 pakiwa pako na hali hiyo ninayo sema ila kwa sasa sijui.
Hivi ni kwan nini Tanga pazuri vile ila pako na dosari ile.....????

Tanga wanaanza weekend ijumaa....alafu kuamka kwa mishe mishe kitaa ni saa 5 asubuhi na kufunga maduka yao ni saa 10 jioni isipokuwa barabara ya 9 pale na 10 ndiyo kidogo kuna biashara.

Ukiwahi kuamka Tanga hukuti duka lilo wazi yaani saa mbili kamili asubuhi maduka yamefungwa 😁😁😁

Nilisahahu kuwa Tanga mjini hapo machizi ni wengi sana....lakini mapaka kama yote. Nyau nyingi.
aaa wakurugenz ma dir watakwambia nduguu pagumu hata uwe na hela ujiforce hurudi
 
Back
Top Bottom