0036 savage
Senior Member
- Apr 30, 2019
- 190
- 237
Kumekuwa na shida katika malipo kwa kipindi kirefu katika Bandari ya Tanga ni kama hao SUMA wanaamua ni lini walipe wafanyakazi wa kutwa wanalipa siku watakayojisikia wao wanatesa sana vibarua, Watu wanateseka bandari ya Tanga kwasababu ya SUMA JKT haiwalipi pesa zao kwa wakati.