Tanga: Nauza paka weusi na weupe

Tanga: Nauza paka weusi na weupe

Me mwenyewe nina vifaranga 60 vya bundi nasubiri miezi 6 ijayo niuze bundi wakubwa. Mwenye uhitaji aweke oda kabisa pm maana hii mbegu ya bundi ni kutoka Congo DRC ni adimu sana na wanafanya kazi kwa ufanisi na wanaishi miaka mingi zaidi.
 
Wakuu, ninafuga paka na sasa nimefikisha paka 765. Wana umri wa miezi 6 mpaka 8. Unaweza kumtuma popote pale na akakufanikishia kazi yako bila shida.


Nauza 20,000 kwa paka mmoja. Ukichukua zaidi ya 5 nakufanyia 15,000 ( discount ya 5,000).


Ninawafugia Korogwe Tanga. Na ninaweza kutuma pia popote pale, ndani na nje ya nchi.


Karibuni sana.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Mtafute Mohamed Dewji
 
Back
Top Bottom