ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,851
- 41,924
Nisalimie hapo mafletNipo Chumbageni ndugu
Nisalimie hapo mafletNipo Chumbageni ndugu
Sawa zimefika UkhtyNisalimie hapo maflet
Hebu nambie hali ya dunia hotel kote kwa fund sud makabur ya mzingan na mzingan yenyew hali ipoje kwa sasPole mkuu, nipo usagara hapa, imenibidi nikae nje kibarazani maana ukilala unaweza kusombwa hivihivi
atareeeeeeeKaka tuko pamoja..hata hakulaliki..
Mmh pale sidhan kam pajaa maji kazi kiboy ziwani paleWasiwasi wangu ni pale kanisa la Anglikana makorora.
Waambie mkuu nilikuwa naishi maeneo ya Bombo Area kwa kweli ilikuwa mtihani maana tulikuwa tupo karibu na kumbi mbili kubwa za Harusi kwaiyo ikawa kila wikiend hatupumi wala hatulali kwa fujo za hao baikoko wakipumzika hao Mara Mabohora nao wanaingia kwenye Ibada yaani bughudha mtindo mmoja!!!Tanga punguzeni maaswi
Vipi handeniNitawajuza zaidi. Hali ni mbaya mno.....