Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Gari aina ya Toyota Hiace lililokuwa likisafirisha magazeti toka Dar es Salaam kwenda Arusha limepata ajali usiku wa kuamkia Leo eneo Mkata mkoani Tanga. Dereva wa gari hilo na mtu mwingine wanasadikika kupoteza maisha.
Hizi mashine dah!
Hizi mashine dah!