park don
JF-Expert Member
- Dec 2, 2017
- 4,918
- 7,023
.Uamini usiamini hiyo ni juu yako
.Uamini usiamini hiyo ni juu yako
Mtwara na Lindi umeme unawaka 24/7.
Kuna mtambo mdogo Unaotumia gesi.Haaa Ulaya huko
Ngoja nihamie huko ngoja nisubiri patulie
Kuna mtambo mdogo Unaotumia gesi.
Unalisha Mtwara na Lindi.
Huku tumepishana na Gridi ya Taifa.
Huko Kwenu majanga, wekeni tayari bajeti ya Kununua Jenereta.Ooh hapo sawa
Safi sana
Natumaini siku moja wote tutakuwa sawa
Huko Kwenu majanga, wekeni tayari bajeti ya Kununua Jenereta.
Heshima yako Mkuu.Huku niliko sijawahi kuona umeme umekata na ni mwaka wa 32 sasa
Ila nawasemea walioko huko nyumbani
Kweli humu wapo wengine wanaishi Kabul wengine Seoul na hata Santiago
Sio wote tuko huko
Heshima yako Mkuu.
Hongera sana !
Jambo afande CDF!
Hu
Huyu jamaa yani. Magufuli asingehusika kwa Ben8 , bomoa nyumba kimara na Lissu alikuwa afadhali
Hii project bado ipo?Kwani bwawa la Nyerere litajaa lini?
ZipoHivi kuna sehemu Tz umeme huwa 24/7?
Maana unaelezewa kama ndio mara ya kwanza mgao unaanza
Sisi tumeamua kuweka solar miaka mingi tu
Zipo
Kwahiyo ulienda kumchagua kama rais?Acha kuwa msambazaji wa chuki. Kiongozi wako alizunguka nchi nzima na marehemu JPM kuomba kura. Kasota juani kutafuta kura hivyo anayo haki ya kuongoza Tanzania.
Nilipompigia kura JPM na hapo hapo nikampigia kura SSH. Ni sawa na umpigie kura Biden halafu umchukie bila sababu Kamala.Kwahiyo ulienda kumchagua kama rais?