MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,520
- 1,368
Mzalendohalisi,
Hiyo miradi mikubwa mikubwa ya Wachina iangalie sana mkuu, itakuja itokea Afrika puani. Hawa jamaa hii miradi mikubwa mikubwa hata kule kwao inawaletea matatzo sasa ndio iwe kwetu Afrika? Tuwe waangalifu sana.
Kama inawezekana tuwe na miradi midogo midogo ili hata kukiwa na matatizo sehemu moja basi effect yake haiwi kubwa sana.
Kwa nchi maskini kama za kwetu ni hatari sana kutegemea hii miradi mikubwa mikubwa. Kama ule mradi wa Singida utafanikiwa itakuwa nzuri, changanya na umeme wa maji, imarisha Kiwira na ule mgodi mwingine wa makaa ya mawe, ongezea technology ya solar kwenye miji midogo midogo, nafikiri ndio strategy nzuri.
BTW: Nilikuwa najua IMF wanatuonea Afrika, nimeona walivyowabana Ukraine, Slovakia na Iceland, kumbe Mwarobaini ni ule ule.
Mtanzania,
A you serious?? Mtanzania miradi midogo midogo??? Kama dowans, upepo singida, wa megawats 50, 100, 200 n.k?? Hiyo mirandi midogo2 ndo imetufikisha Tz hapo mgao kila siku na Ufisadi mbele! Miradi midogo poa ila just to compliment miradi mikubwa!
Kumbuka only 10% ya watz wana umeme sasa hivi!
Maendeleo ya viwanda, infrustructure ni energy..sasa tuendelee kusuasua hadi lini?
Let us be ambitious kuwa na miradi ya kuzalisha hata 5,000 megawats..then tuachane na kufikiria dowans n.k we can export ziada kwa nchi zingine!
Mkopo utoke, mbinguni, China, US.. I dont care! We need reliable source of energy!
Kama tungaliinvest pesa nyingi ktk Energy leo tungekuwa mbali kiasi!
Last edited: