TANESCO yaomba radhi wateja wake kwa kukatika kwa umeme ghafla usiku leo 21.01.2022

Maeneo ni mengi zaidi ya hayo uliyotaja, huku mbezi beach, goba, salasala kote hakukuwa na umeme.

Hao wapuuzi tumeshawazoea ukiona mvua tu jiandae na solar lamp au torch karibu if not chemli kwa wenzetu wasiotaka kubadilika.
Kama Unavyojua Taifa Letu Lina Ugonjwa Wa Kupika Data.

Kama ni kitu ambacho kitaumbua serikali katika utendaji wake wa kazi basi idadi upunguzwa.

Kama ni jambo linaleta mapambio kwa serikali kwa kusifia utapewa takwimu ambazo si sahihi bali kwa idadi kubwa.

Mfano: Kumbuka idadi ya walienda kuchanja, takwimu za watu waliopata ajali za kivuko mwanza n.k
 
... ni jambo la kushangaza sana! Yakianza manyunyu tu probability ya umeme kukatika ni 100% wakati ndio muda ambao umeme unahitajika zaidi. Eti nyie jamaa TANESCO mna matatizo gani yasiyoisha miaka na miaka? Au ndio akili zile zile zinapewa jukumu la kuondoa matatizo zilizoyasababisha zenyewe?
TANESCO hawana(ga) cha kujibu utaambiwa kuna matengenezo ya mfumo na maboresho.

Tusipopata watu wenye commitment na kutowaza matumbo ili tatizo litafika hadi decade 100 zingine.
 
Kama Unavyojua Taifa Letu Lina Ugonjwa Wa Kupika Data.

Kama ni kitu ambacho kitaumbua serikali katika utendaji wake wa kazi basi idadi upunguzwa.

Kama ni jambo linaleta mapambio kwa serikali kwa kusifia utapewa takwimu ambazo si sahihi bali kwa idadi kubwa.

Mfano: Kumbuka idadi ya walienda kuchanja, takwimu za watu waliopata ajali za kivuko mwanza n.k
.... bila kusahau takwimu za waliokufa kwa Uviko-19!
 
... ni jambo la kushangaza sana! Yakianza manyunyu tu probability ya umeme kukatika ni 100% wakati ndio muda ambao umeme unahitajika zaidi. Eti nyie jamaa TANESCO mna matatizo gani yasiyoisha miaka na miaka? Au ndio akili zile zile zinapewa jukumu la kuondoa matatizo zilizoyasababisha zenyewe?
Hiyo ni problem ya kuwapatia watu wizara ambao wameenda pale kusolve problems walizonazo wenyewe.
 
Hiyo ni problem ya kuwapatia watu wizara ambao wameenda pale kusolve problems walizonazo wenyewe.
... tatizo la Tanesco sio la jana wala la juzi; imeongozwa na watu wa kila aina kuanzia electrical engineers hadi PhD holders of the same wamehudumu pale lakini tatizo liko pale pale. Wamewahi kuletewa hadi ma-TX the so called NetGroup Solutions hapajawahi kuwa na ahueni; umesahau ile kauli maarufu ya "siangalii rangi ya paka"?

In that regard, picha ninayoipata tatizo la Tanesco liko zaidi nje ya Tanesco kuliko ndani. Linapanuka zaidi hadi kuwahusisha wanasiasa na vyama/chama vya/cha siasa.
 
Maeneo ni mengi zaidi ya hayo uliyotaja, huku mbezi beach, goba, salasala kote hakukuwa na umeme.

Hao wapuuzi tumeshawazoea ukiona mvua tu jiandae na solar lamp au torch karibu if not chemli kwa wenzetu wasiotaka kubadilika.
mkuu ina maana unaishi maeneo yote hayo ama
 
Wanaendelea kuupiga mwingi
giphy.gif
 
Habari,

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa Wa Kinondoni Kusini limewaomba radhi wateja wake wanaotumia laini za umeme kwa kukosa huduma ya umeme muda huu.

"Maeneo yaliyoathirika ni Magomeni, Mburahati, Kigogo, Mabibo, Sinza, Ubungo,Bonyokwa, Kimara Baruti, Korogwe, King'ongo, Kimara Mwisho, Suca,Kwembe, Temboni,Maeneo ya Mbezi, Maeneo ya Kibamba, Makabe, Msumi, Msakuzi, Mpigi mageo, Malamba mwili, Kingazi, Makongo, Saranga, Changanyikeni, Chuo Kikuu na Mandela Road"

"Wataalamu wetu wanaendelea na jitihada za kuweza kuhakikisha hali ya huduma ya umeme inarejea kwa wakati, Ndugu wapendwa wateja wetu, tunaomba uvumilivu wenu katika kipindi hiki cha kukosekana kwa huduma, Shirika linaomba sana radhi kwa usumbufu wowote unaojitokeza katika kipindi mnachokosa huduma ya umeme"

Nawasilisha Mzee Mkoloni.

Cc: Kichwa Kichafu.
Tunarudisha uchifu na ukabila kwa mlango wa nyuma.mambo ambayo Nyerere aliyafutilia mbali.Kwa mfano huyo chifu ana influence gani kwa Wachaga kwa sasa.je kweli anaweza hata kuitisha mkutano wananchi wakahudhuria? Hata mimi nimekwazika sana aisee yaani majanga matupu.
 
Back
Top Bottom