RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,719
- 107,824
Na leo Niko ofisini wamekata tangu saa mbili asubuhi sijui walitangaza?angalau ya saa nbe walitangaza. ingawa walidai watakata saa tatu hadi saa kumi na moja...ikageuka kuwa saa moja!!!
Na leo Niko ofisini wamekata tangu saa mbili asubuhi sijui walitangaza?angalau ya saa nbe walitangaza. ingawa walidai watakata saa tatu hadi saa kumi na moja...ikageuka kuwa saa moja!!!
Tupe Update Huko Ulipo Mkuu.Kwahiyo sie wa chuga sio watanzania
Tusubiri Mnada Upite Kwanza.Nchi gani wanaweza kupokea uraia wangu within six months? Ushauri pls. Au ningoje kwanza hadi muda ule ufike tukipigwa mnada (according to Mstaafu JYN) ili nichukue changu?
Tutashuhudia Mengi.Kwa trend ya umeme kukatika ilivyo ni bora wangeacha tu watachoka kuomba radhi kwa hali inavyoendelea kuwa!!!
kwenye Umeme tushashuhudia,Tutashuhudia Mengi.
Wamerudisha saa 6 mchanaTupe Update Huko Ulipo Mkuu.
Zamani ilisemekana wanapitisha mizigo ya magendo.Haya mambo yakukata umeme usiku ndo yanachochea wezi pia
Baada ya mzee Lukuvi kunyang'anywa uwaziri.kwenye Umeme tushashuhudia,
Nadhani sasa tunaelekea kushuhudia kwenye Ardhi na Maendeleo ya Makazi!!!
Shukrani Mkuu Kwa Mrejesho.Wamerudisha saa 6 mchana
Kweli common sense is not common at all. Just hapa unawasiliana nami ingali hatufahamiani he ninaofahamiana nao na tupo kwenye magroup ya watsap na msgr na mengineyo so tunaulizana tu au kwa kupigiana simu kwamba vipi huko??mkuu ina maana unaishi maeneo yote hayo ama
Subirini Press Release tenaWamerudisha saa 6 mchana
Shirika la ajabu kabisa hiliHabari,
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa Wa Kinondoni Kusini limewaomba radhi wateja wake wanaotumia laini za umeme kwa kukosa huduma ya umeme muda huu.
"Maeneo yaliyoathirika ni Magomeni, Mburahati, Kigogo, Mabibo, Sinza, Ubungo,Bonyokwa, Kimara Baruti, Korogwe, King'ongo, Kimara Mwisho, Suca,Kwembe, Temboni,Maeneo ya Mbezi, Maeneo ya Kibamba, Makabe, Msumi, Msakuzi, Mpigi mageo, Malamba mwili, Kingazi, Makongo, Saranga, Changanyikeni, Chuo Kikuu na Mandela Road"
"Wataalamu wetu wanaendelea na jitihada za kuweza kuhakikisha hali ya huduma ya umeme inarejea kwa wakati, Ndugu wapendwa wateja wetu, tunaomba uvumilivu wenu katika kipindi hiki cha kukosekana kwa huduma, Shirika linaomba sana radhi kwa usumbufu wowote unaojitokeza katika kipindi mnachokosa huduma ya umeme"
Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu.
Kamuulize ******Watuambie pia na tarehe ya hii nchi kupigwa mnada.
Aisee kulikua na upepo mkali sana muda huo eneo ambalo nilikuapo,Habari,
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa Wa Kinondoni Kusini limewaomba radhi wateja wake wanaotumia laini za umeme kwa kukosa huduma ya umeme muda huu.
"Maeneo yaliyoathirika ni Magomeni, Mburahati, Kigogo, Mabibo, Sinza, Ubungo,Bonyokwa, Kimara Baruti, Korogwe, King'ongo, Kimara Mwisho, Suca,Kwembe, Temboni,Maeneo ya Mbezi, Maeneo ya Kibamba, Makabe, Msumi, Msakuzi, Mpigi mageo, Malamba mwili, Kingazi, Makongo, Saranga, Changanyikeni, Chuo Kikuu na Mandela Road"
"Wataalamu wetu wanaendelea na jitihada za kuweza kuhakikisha hali ya huduma ya umeme inarejea kwa wakati, Ndugu wapendwa wateja wetu, tunaomba uvumilivu wenu katika kipindi hiki cha kukosekana kwa huduma, Shirika linaomba sana radhi kwa usumbufu wowote unaojitokeza katika kipindi mnachokosa huduma ya umeme"
Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu.
Kufanya bihashara inayoitaji umeme ninkuhatarisha mtaji wakokigamboni toka saa sita hakuna umeme.... au huku hakuna wateja wao???
Hili la kupimana mkojo lilikuwa linachekesha sana na ghafla limeacha kusikika!Ukihoji Hilo Watarudisha Mambo Ya Kupima Mkojo Na Kusema Unaleta Uchochezi Na Taharuki Kwa Wananchi.
Kuna Deal Za Generator Na Vifaa Hapo Mtu Anataka Kupewa Kuagiza/ Kuundiwa Tume Na Kamati Zao.Shirika la ajabu kabisa hili
Shirika ambalo linasubiri lisukumwe sukumwe ndo lifanye kazi.
Kwani kuna shida gani leo ambayo haikuwepo miaka 6 iliyopita ambapo hata mvua inyeshe vipi hakuna upuuzi huu wa kata kata?
Jamani hawa jamaa mimi siwaelewi kabisa walah. Uchumi unaporomoka kwa kasi kubwa kwa sababu ya ujuha wao