TANESCO yaomba radhi wateja wake kwa kukatika kwa umeme ghafla usiku leo 21.01.2022

mkuu ina maana unaishi maeneo yote hayo ama
Kweli common sense is not common at all. Just hapa unawasiliana nami ingali hatufahamiani he ninaofahamiana nao na tupo kwenye magroup ya watsap na msgr na mengineyo so tunaulizana tu au kwa kupigiana simu kwamba vipi huko??

Unajua ni vema kujitahidi kutumia 0.00005 ya akili yako inasaidia wakati mwingi sana.
 
Habari,

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa Wa Kinondoni Kusini limewaomba radhi wateja wake wanaotumia laini za umeme kwa kukosa huduma ya umeme muda huu.

"Maeneo yaliyoathirika ni Magomeni, Mburahati, Kigogo, Mabibo, Sinza, Ubungo,Bonyokwa, Kimara Baruti, Korogwe, King'ongo, Kimara Mwisho, Suca,Kwembe, Temboni,Maeneo ya Mbezi, Maeneo ya Kibamba, Makabe, Msumi, Msakuzi, Mpigi mageo, Malamba mwili, Kingazi, Makongo, Saranga, Changanyikeni, Chuo Kikuu na Mandela Road"

"Wataalamu wetu wanaendelea na jitihada za kuweza kuhakikisha hali ya huduma ya umeme inarejea kwa wakati, Ndugu wapendwa wateja wetu, tunaomba uvumilivu wenu katika kipindi hiki cha kukosekana kwa huduma, Shirika linaomba sana radhi kwa usumbufu wowote unaojitokeza katika kipindi mnachokosa huduma ya umeme"

Nawasilisha Mzee Mkoloni.

Cc: Kichwa Kichafu.
Shirika la ajabu kabisa hili


Shirika ambalo linasubiri lisukumwe sukumwe ndo lifanye kazi.

Kwani kuna shida gani leo ambayo haikuwepo miaka 6 iliyopita ambapo hata mvua inyeshe vipi hakuna upuuzi huu wa kata kata?

Jamani hawa jamaa mimi siwaelewi kabisa walah. Uchumi unaporomoka kwa kasi kubwa kwa sababu ya ujuha wao
 
Habari,

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa Wa Kinondoni Kusini limewaomba radhi wateja wake wanaotumia laini za umeme kwa kukosa huduma ya umeme muda huu.

"Maeneo yaliyoathirika ni Magomeni, Mburahati, Kigogo, Mabibo, Sinza, Ubungo,Bonyokwa, Kimara Baruti, Korogwe, King'ongo, Kimara Mwisho, Suca,Kwembe, Temboni,Maeneo ya Mbezi, Maeneo ya Kibamba, Makabe, Msumi, Msakuzi, Mpigi mageo, Malamba mwili, Kingazi, Makongo, Saranga, Changanyikeni, Chuo Kikuu na Mandela Road"

"Wataalamu wetu wanaendelea na jitihada za kuweza kuhakikisha hali ya huduma ya umeme inarejea kwa wakati, Ndugu wapendwa wateja wetu, tunaomba uvumilivu wenu katika kipindi hiki cha kukosekana kwa huduma, Shirika linaomba sana radhi kwa usumbufu wowote unaojitokeza katika kipindi mnachokosa huduma ya umeme"

Nawasilisha Mzee Mkoloni.

Cc: Kichwa Kichafu.
Aisee kulikua na upepo mkali sana muda huo eneo ambalo nilikuapo,
 
Shirika la ajabu kabisa hili


Shirika ambalo linasubiri lisukumwe sukumwe ndo lifanye kazi.

Kwani kuna shida gani leo ambayo haikuwepo miaka 6 iliyopita ambapo hata mvua inyeshe vipi hakuna upuuzi huu wa kata kata?

Jamani hawa jamaa mimi siwaelewi kabisa walah. Uchumi unaporomoka kwa kasi kubwa kwa sababu ya ujuha wao
Kuna Deal Za Generator Na Vifaa Hapo Mtu Anataka Kupewa Kuagiza/ Kuundiwa Tume Na Kamati Zao.
 
Back
Top Bottom