Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 575
- 2,559
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawatarifu wateja wake kutokea kwa hitilafu kwenye miundombinu ya usafirishaji umeme kwenye kituo cha kufua umeme cha Hale mkoani Tanga leo Jumanne, Septemba 27, 2022.
Hitilafu hii imesababisha kukosekana kwa huduma ya meme kwenye maeneo yote ya mikoa ya Tanga na Pemba.
Wataalamu wetu wanaendelea na jitihada za kuhakikisha huduma ya umeme inarejea katika hali yake ya kawaida.
Shirika linaomba radhi kwa usumbufu wowote unaojitokeza.
Hitilafu hii imesababisha kukosekana kwa huduma ya meme kwenye maeneo yote ya mikoa ya Tanga na Pemba.
Wataalamu wetu wanaendelea na jitihada za kuhakikisha huduma ya umeme inarejea katika hali yake ya kawaida.
Shirika linaomba radhi kwa usumbufu wowote unaojitokeza.