Kwamba huamini kam hilo halipo au unaona ni uongi?Kunguru wameshaangushiwa jumba bovu.
Kwamba huamini kam hilo halipo au unaona ni uongi?Kunguru wameshaangushiwa jumba bovu.
Chief hsbari mbona iko wazi sana ? Siyo kunguru kwa dhati yake bali kwa vile anavyo okototeza na kuruka navyo kwa ajili ya shughuli zake.Huyu kalishwa matango pori tu maskini ya Mungu,kunguru wanakuraje nyaya za umeme?hakuna uwezekqno wa kunguru kupigisha short circuit ya nyaya za 33KV,sema Kama ataamua kupiga msamba!
Uwezekano wa kunguru kupigisha short ni mdogo sana,
Ni matukio ambayo nimeshuhudia. Siwatetei Tanesco. Sijasema kuwa hutokea kila siku, nimefafanua baada ya watu kubisha kuwa kunguru hawezi kusababisha shoti.Bado haileti maana..ili hizo nyaya zinazoletwa na kunguru kuweza kupigisha shoti ni ama ziweze kuungunisha waya mmoja na mwingine au zindondokee ndani ya transfoma na huko ndani ndizo zikasababishe short circuit....vinginevyo ni ngumu kunguru katua kwenye waya mmoja tu wa umeme na kipande kingine kidogo cha waya mdomoni mwake anasababishaje shoti ya umeme? haiingii akilini? na kwa tabia za kunguru hawajengi kiota kwenye waya labda transforma na hapo kwenye transforma kuna insulator ya kutosha kuzuia viwaya vidogo kuingia ndani yake na kweza sababisha ajali hiyo....atafute tu maelezo mengine ya kitaalam lakini sio kuwasingizia ndege hawa... daah kweli mbaazi akikosa maua...
Kesho mpeleka mwenyekiti wa Kunguru kwenye vyombo vya habari akakanushe. Kama hawahisiki na mgao wa umeme.umoja wa kunguru umekanusha kuhusika